
Bobbi
Kristina Brown ,mtoto wa marehemu Whitney Houston ambaye alikuwa gwiji
wa muziki wa R&B ,amefariki dunia baada ya kupoteza fahamu kwa muda
wa miezi sita tangu alipokutwa taabani kwenye bafu lake na pindi
alipofikishwa hospitalini na kukutwa na matatizo kwenye ubongo.
Bobbi amekufa akiwa na umri wa miaka 22,huku akivutiwa kuwa muigizaji na muimbaji mahiri na mwenye ubora wa aina yake.
RSS Feed
Twitter

1:48 AM
MZM


















