Msanii wa Nigeria "Tiwa Savage" aachiwa wimbo wake mpya "Bad" akimshirikisha "Wizkid". Video imefanywa na Director "Sesa...
Sunday, July 31, 2016
Friday, July 22, 2016


Tume ya vyuo vikuu nchini TCU, imevizuia vyuo sita nchini kufanya udahili wa wanafunzi kwenye msimu wa masomo wa 2016/17.
Waziri wa Elimu, Sayansi, Teknolojia na Ufundi Profesa. Joyce Ndalichako (Kulia)
Hatua hiyo imechukuliwa na tume hiyo kutokana na vyuo hivyo kutokidhi viwango vya elimu vilivyokuwa vikiitoa.
Vyuo hivyo ni pamoja na:
1. International Medical and Technological University (IMTU)...


Mchekeshaji Ismail Issa Makombe ‘Kundambanda’ amefariki dunia usiku
wa kuamkia Ijumaa hii baada ya kusumbuliwa na matatizo ya tumbo kwa muda
mrefu.
Mwigizaji huyo ambaye pia aligombea ubunge katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2015, amekutwa na umauti akiwa nyumbani kwao Mtwara.
Akiongea na Bongo5 Ijumaa hii Mwenyekiti wa Chama cha wasanii wa
Vichekesho Tanzania, Mkono Wa Mkonole amethitisha kutokea...
Friday, July 15, 2016
Tuesday, July 12, 2016
Saturday, July 2, 2016


Mkhitaryan
Mshambuliaji wa klabu ya Borussia
Dortmund Henrikh Mkhitaryan amesajiliwa na klabu ya Manchester United
,kulingana na klabu hiyo ya Ujerumani.
Afisa mkuu wa Dortmund
Hans-Joachim Watzke amesema kuwa wamekubali kumuuza mchezaji huyo kwa
United ili kumzuia nahodha huyo wa Armenia kuwa ajenti huru mwishoni mwa
msimu ujao.
''Iwapo tungekataa mchezaji huyo angekuwa...
Subscribe to:
Posts (Atom)