Thursday, January 22, 2015



Askari polisi Deogratius wa Kituo cha Polisi, Kinesi Wilayani Rorya mkoani Mara, amechomwa mkuki na wananchi waliovamia mgodi wa dhahabu wa ACACIA North Mara kwa lengo la kupora mawe.



Mkazi wa Dar es Salaam, Goodluck Madaraka anayedaiwa kujeruhiwa na risasi wakati wa mkesha wa sherehe ya harusi eneo la Tabata Kisukulu usiku wa kuamkia jana, akiwa katika eneo hilo lililogeuka kuwa la msiba jana, baada ya mwenzake Salim Ally kudaiwa kuuawa kwa risasi na jirani yao aliyekerwa na kelele za muziki wakati wa sherehe hiyo. Picha na Kalunde Jamal  

 
Kijana Amosi Ng’arare Marale Sasi,(22) anayesumbuliwa na uvimbe usoni.
Alikuja Muhimbili ili akafanyiwe upasuaji India, alipelekwa akarudishwa bila kutibiwa, awaita ndugu zake hospitalini.
Kijana Amosi Ng’arare Marale Sasi,(22) mkazi wa Kijiji cha Kizaru, Kata ya Mryaza, wilaya



Mwanamke (Doreen John Mlemba) anayedaiwa kukamatwa na unga.
MWANAMKE mmoja aliyetambuliwa kwa jina la Doreen John Mlemba, mwenyeji wa Same mkoani Kilimanjaro, mwishoni mwa mwaka uliopita alikamatwa kwa kuhusishwa na shehena ya madawa ya kulevya aina ya Heroin, yenye thamani ya shilingi bilioni 2.5.
Madawa hayo yalikutwa kwenye nyumba moja iliyopo eneo la
Ununio, Tegeta jijini Dar es Salaam, ambayo ni mali ya Mbunge wa CCM (Jina linahifadhiwa) wa jimbo moja la mikoa ya Kanda ya Ziwa, Uwazi limefukunyua.

Friday, January 16, 2015

Fernando Torres celebrates opening the scoring for Atletico Madrid after just 49 seconds at the Bernabeu

Kocha wa Atletico Madrid Diego Simeone amesema Fernando Torres amerejea kuwa ''mwanaume'' ndivyo alivyomuita hivyo baada ya mshambuliaji huyo kufunga magoli yake ya kwanza tangu alipojiunga na Atletico madrid.
Torres enjoyed a slice of good fortune as goalkeeper Keylor Navas deflected the ball into the net for his second goal
Mchezaji wa kimataifa wa Uhispania Torres alijiunga na Liverpool mwaka 2007.
Toni Kroos, Ronaldo, Sergio Ramos and James Rodriguez show off their awards before the Copa del Rey tie
Torres alijiunga na Atletico mwanzoni mwa mwezi huu na aliifungia klabu hiyo magoli mawili katika dimba la Bernabeu na kutoka sare ya mabao 2-2 ilipokutana na Real Madrid katika michuano ya Copa del rey.
 Torres celebrates in front of Real Madrid fans after scoring in 4-0 victory over Real Madrid in 2009
Torres naye ameonesha furaha yake na kushukuru wapenzi wake kwa kumuunga mkono.
 Torres celebrates in front of Real Madrid fans after scoring in 4-0 victory over Real Madrid in 2009


Mkazi wa Dar es Salaam, Goodluck Madaraka anayedaiwa kujeruhiwa na risasi wakati wa mkesha wa sherehe ya harusi eneo la Tabata Kisukulu usiku wa kuamkia jana, akiwa katika eneo hilo lililogeuka kuwa la msiba jana, baada ya mwenzake Salim Ally kudaiwa kuuawa kwa risasi na jirani yao aliyekerwa na kelele za muziki wakati wa sherehe hiyo. Picha na Kalunde Jamal  

si. Katika hali isiyokuwa ya kawaida, mwanamume mmoja amewafyatulia risasi watu wawili na kusababisha kifo cha mmoja kwa kile kinachodaiwa kumletea usumbufu wakati wa mkesha wa haru