Sunday, October 30, 2016

https://encrypted-tbn0.gstatic.com/images?q=tbn:ANd9GcSiTUqUeKicy0oJY8jyVoQJ_fIPUG_5l4K0N0I0sGwHdYIV5zmp
Mapema Jumamosi hii zilisambaa picha ‘fake’ inayomuonyesha msanii huyo mahiri duniani akiwa ameshasajiriwa kwa ajili ya tamasha hilo linalotarajiwa kufanyika Novemba 5 katika viwanja wa Leaders Club jijini Dar es salaam.
Kupitia ukurasa wa instagram wa Clouds FM umetoa taarifa hii:
Kumetokea uzushi kwamba tumemsajili msanii Jay Z kwa ajili ya kilele cha #Fiesta2016 hapo #November05. Tunapenda kukanusha habari hiyo; picha iliyotengenezwa kueneza habari hiyo ni batili
Wasanii wakimataifa ambao tayari uwepo wao umetangazwa ni pamoja na Yemi Alade wa Nigeria, Jose Chameleone wa Uganda pamoja na Tekno wa Nigeria.
Hii ni list ya wasanii wa Tanzania.
1. Ben Pol
2. Nandy
3. Christian Bella
4. Fid-Q
5. Weusi
6. Roma
7. Chegge
8. Dogo Janja
9. Billnass
10. Stamina
11. Jux
12. Barnaba
13. Maua Sama
14. Darassa
15. Vanessa Mdee
16. Sholo Mwamba
17. Jay Moe
18. Msami
19. Juma Nature
20. Snura
21. Baraka Da Prince
22. Shilole
23. Manfongo
24. Belle 9
25. Lord Eyes
26. Young Dee
27. Raymond
28. Mr. Blue
29. Alikiba




Source

Thursday, October 27, 2016

Image result for Abby Skillz Ft. Alikiba & Mr Blue – Averina
Kupakua wimbo huu bofya hapa chini
Bonyeza hapo chini ili kuona matokeo ya darasa la saba. (PALIPOANDIKWA MATOKEO HAYA HAPA)