Wazazi wa mwanaharakati mmoja wa haki za raia nchini Marekani wamesema kuwa anajifanya kuwa mtu mweusi kwa miaka kadhaa sasa.
Rachel Dolezal analifanyia kazi shirika liitwalo National Association for the Advancement of Colored People {NAACP} huko Spokane takriban maili 280 mwa mji wa Seattle kazkazini magharibi mwa Marekani.