Showing posts with label Diamond Platinumz. Show all posts
Showing posts with label Diamond Platinumz. Show all posts

Saturday, January 16, 2021

Mama mzazi wa Diamond Platnumz akijibu kuhusu swali la Dida ambaye ni Mtangazaji wa Wasafi FM, ambaye aliuliza kuhusu uhusiano wa Diamond na Ricardo Momo, mama huyo amejibu kwa kuuliza ''Diamond na Ricardo mnawaonaje?, ambapo Dida alisema wanafanana.


Mama Diamond akaendelea kusema kuwa Baba mzazi wa Diamond anaitwa Salum Idd Nyange huku akidai kuwa Mzee Abdul ni baba mlezi wa Diamond kwani wakati wanaingia kwenye mahusiano alimwambia kuwa kuwa ana ujauzito na Mzee Abdul kusema kuwa ahusiki.

Mama huyo amedai kwamba mzee Abdul alimkataa Diamond tokea mimba na hakuwahi kuwa na mchango wowote kwa Diamond kuanzia vidudu mpaka Sekondari.

Mama Diamond amekuwa akimwambia mzee Abdul kwamba bora ungemkubali Diamond tokea mdogo sasa hivi ungekuwa na mtoto, na ndicho amekuwa akimwambia siku zote.

Thursday, August 6, 2015





Imesubiriwa kwa shauku iliyoje, mengi yamesemwa lakini imefikia hatua ya mitandao mingi kufanya tukio hili kuwa habari iliyofika kwenye madawati yao hivi punde.
Kwa post hii ya Diamond kwenye ukurasa wake wa Twitter na Instagram dakika chache zilizopita ni dhahiri kuwa familia ya Wasafi imepata ongezeko la mtoto wa kike.