Virusi vya HIV
Virusi vya ugonjwa
wa ukimwi vinaendelea kujenga kinga dhidi ya dawa za ugonjwa huo
zinazotumika kukinga na kukabiliana na ugonjwa huo,utafiti umesema.
Virusi vya HIV vimeanza kuwa na kinga dhidi ya dawa ya Tenovir katika
asilimia 60 ya visa vyote miongoni mwa mataifa kadhaa ya Afrika
kulingana na utafiti huo uliofanyika kati...
Friday, January 29, 2016
Friday, January 15, 2016
Tuesday, January 12, 2016


Simba huyo alikuwa pia na masharubu ya ziada
Simba wa milimani
aliyeuawa katika jimbo la Idaho, nchini Marekani ameshangaza wengi
kutokana na hali kwamba alikuwa na meno ya ziada kichwani.
Meno hayo kamili yanachomoza kutoka kwenye paji la uso na kuonekana kama pembe.
Simba huyo aliuawa na wawindaji walioidhinishwa tarehe 30 Desemba.
Idara
...


Hii ni mara ya tano Messi kushinda tuzo hiyo
Mshambuliaji wa klabu ya soka ya Barcelona, na timu ya taifa ya Argentina Lionel Messi, ametwaa tuzo ya mchezo bora wa dunia.
Messi
mwenye miaka 28 alishinda kwa 41.33% kwa kura zote zilizopigwa, huku
Cristiano Ronaldo akishika nafasi ya pili kwa 27.76% na Neymer akipata
7.86%.
Hii ni mara yake ya...


Wachezaji wa Arsenal
Droo ya raundi ya nne ya michuano ya kombe la Fa imetoka huku timu za ligi kuu ya England zikipangwa na zile za daraja la chini.
Arsenal,
ambao ni mabingwa watetezi wao wamepangwa kukipiga na timu ya Burnley,
Huku Chelsea wao wataanzia ugenini kwa kucheza na Mshindi wa mchezo kati
ya Northampton Town au Mk Dons.
Man City wao watakipiga na
mshindi wa mchezo...
Subscribe to:
Posts (Atom)