.jpg)
Baraza
 la mitiani NECTA limetangaza Matokeo ya kidato cha 2 kwa wanafunzi 
waliofanya mtihani mwaka jana ambapo wanafunzi 324,068 sawa na 89% kati 
ya wanafunzi 363,666 waliofanya mtihani wamefaulu kuendelea na kidato 
cha tatu.
5:36 AM
MZM
.jpg)
 Posted in Motokeo
 RSS Feed
 Twitter
0 comments:
Post a Comment