Kama 
tunavyofahamu, nchi yetu ina aina mbalimbali za nyoka ambao pindi 
wakimuuma mtu huleta madhara mbalimbali ya kiafya. Aidha tunafahamu 
kwamba tatizo hili lipo zaidi katika maeneo ya vijijini ambako uwezo wa 
wananchi kumudu gharama za matibabu ni mdogo.
Tuesday, December 27, 2016
Subscribe to:
Comments (Atom)
 RSS Feed
 Twitter

10:48 AM
MZM

