
Moto 
 mkubwa wa gesi umelipuka na kuteketeza nyumba eneo la Hospitali ya 
Buguruni Mnyamani jijini Dar es Salaam jana jioni  kutokana na Bomba la 
gesi kutoka Songo Songo, Lindi/Mtwara kwenda Ubungo, Dar, kupasuka na 
kusababisha moto mkubwa uliozua taharuki kwa wakazi na wafanyabiashara 
wanaozunguka eneo la Buguruni Mnyamani.
 RSS Feed
 Twitter

1:26 AM
MZM
