Madhara ya mvua kubwa mjini Dar es Salaam
Leo imekuwa siku ngumu sana kwa uchukuzi mjini Dar es Salaam, Tanzania.
Kisa na maana,,,,mafuriko.
Wenyeji walitatazikika kuendesha shughuli zao za kawaida
Baadhi ya barabara kuu za kitovu hicho cha kibiashara cha Tanzania, zilikuwa hazipitiki.
Maji kila mahali
Mvua kubwa inayoendelea kunyesha hivi sasa kanda yote ya Afrika...
Thursday, April 28, 2016
Thursday, April 21, 2016


Mamlaka ya Mapato nchini (TRA) imekiri Serikali kupoteza mapato
mengi ya ndani kwa miaka ya nyuma kutokana na mapungufu ya Sheria ya
kodi ya ongezeko la thamani ya mwaka 1997 na Sheria ya Usimamizi wa
kodi. Mapungufu ya Sheria hizo yaliikosesha nchi mapato kwa kile
kilichodaiwa kuwepo kwa misululu mingi ya misamaha ya kodi, iliyotolewa
kwa sababu mbalimbali.
Katika mafunzo maalumu ya...



BAADA ya jana kutolewa
kwenye michuano ya klabu bingwa barani Afrika na Al Ahly ya Misri, Yanga
sasa imepangiwa kucheza na Sagrada Esperance ya Angola kwenye michuano
ya kombe la shirikisho.
Sagrada wako nafasi ya 10 katika msimamo wa ligi ya Angola wakiwa na alama 9 pekee.
Yanga sasa itaanzia nyumbani Dar es Salaam katika mchezo wa kwanza kati ya Mei 6 na 8 kabla ya kurudiana kati ya...


Wizara ya Viwanda na Biashara imeliagiza Shirika la Viwango
Tanzania (TBS) kusimamia na kuhakikisha wazalishaji wa bidhaa nchini
wanakuwa na alama ya Msimbomilia au BarCode inayotambulisha bidhaa
husika lengo likiwa ni kuondokana na bidhaa feki.
Wizara hiyo imesema kuwepo kwa alama hiyo kutaziwezesha bidhaa za
nchini kuwa na soko na hatimaye kuepukana na bidhaa toka nje ya nchi
ambazo viwango...
Wednesday, April 20, 2016


Kaimu kamishina wa madini, Ally Samaje
MADINI aina ya Tanzanite ya thamani ya Sh bilioni 2.5 yaliyokamatwa
mwaka jana yakitoroshwa nje ya nchi, yatauzwa kwa mnada wa hadhara
wakati wa maonesho ya kimataifa ya madini ya vito yaliyoanza jana hapa.
Madini hayo yalikamatwa kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa
Kilimanjaro (KIA) yakitaka kutoroshwa kwenda nje ya nchi bila kufuata
utaratibu wa...
Thursday, April 14, 2016
Subscribe to:
Posts (Atom)