Thursday, April 28, 2016

Madhara ya mvua kubwa mjini Dar es Salaam Leo imekuwa siku ngumu sana kwa uchukuzi mjini Dar es Salaam, Tanzania. Kisa na maana,,,,mafuriko. Wenyeji walitatazikika kuendesha shughuli zao za kawaida  Baadhi ya barabara kuu za kitovu hicho cha kibiashara cha Tanzania, zilikuwa hazipitiki. Maji kila mahali  Mvua kubwa inayoendelea kunyesha hivi sasa kanda yote ya Afrika...

Thursday, April 21, 2016

  Mamlaka ya Mapato nchini (TRA) imekiri Serikali kupoteza mapato mengi ya ndani kwa miaka ya nyuma kutokana na mapungufu ya Sheria ya kodi ya ongezeko la thamani ya mwaka 1997 na Sheria ya Usimamizi wa kodi. Mapungufu ya Sheria hizo yaliikosesha nchi mapato kwa kile kilichodaiwa kuwepo kwa misululu mingi ya misamaha ya kodi, iliyotolewa kwa sababu mbalimbali. Katika mafunzo maalumu ya...
BAADA ya jana kutolewa kwenye michuano ya klabu bingwa barani Afrika na Al Ahly ya Misri, Yanga sasa imepangiwa kucheza na Sagrada Esperance ya Angola kwenye michuano ya kombe la shirikisho. Sagrada wako nafasi ya 10 katika msimamo wa ligi ya Angola wakiwa na alama 9 pekee. Yanga sasa itaanzia nyumbani Dar es Salaam katika mchezo wa kwanza kati ya Mei 6 na 8 kabla ya kurudiana kati ya...
Wizara ya Viwanda na Biashara imeliagiza Shirika la Viwango Tanzania (TBS) kusimamia na kuhakikisha wazalishaji wa bidhaa nchini wanakuwa na alama ya Msimbomilia au BarCode inayotambulisha bidhaa husika lengo likiwa ni kuondokana na bidhaa feki. Wizara hiyo imesema kuwepo kwa alama hiyo kutaziwezesha bidhaa za nchini kuwa na soko na hatimaye kuepukana na bidhaa toka nje ya nchi ambazo viwango...

Wednesday, April 20, 2016

Kaimu kamishina wa madini, Ally Samaje MADINI aina ya Tanzanite ya thamani ya Sh bilioni 2.5 yaliyokamatwa mwaka jana yakitoroshwa nje ya nchi, yatauzwa kwa mnada wa hadhara wakati wa maonesho ya kimataifa ya madini ya vito yaliyoanza jana hapa. Madini hayo yalikamatwa kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro (KIA) yakitaka kutoroshwa kwenda nje ya nchi bila kufuata utaratibu wa...

Thursday, April 14, 2016

var thumbnail_mode = "float" ; summary_noimg = 180;summary_img = 180;img_thumb_width = 365;img_thumb_height = 280; ...

Sunday, April 3, 2016

Wachezaji wa ligi kuu ya Uingereza wanatumia madawa yaliyopigwa marufuku Serikali ya Uingereza imeanzisha uchunguzi wa dharura kufuatia ufichuzi kuwa wachezaji...