
Historia ya Mnara ule ilianza mwaka 1889, kisha, kabla na
baada ya Vita Kuu ya Kwanza ya Dunia (1914 - 1918) hadi Vita Kuu ya Pili
ya Dunia (1939 - 1945).
Kwa ufupi Sanamu ya mwanzo kukaa pale ni sanamu ya Herman Von Wissman,
Gavana wa Kijerumani ambaye anakumbukwa kwa kutekeleza utekaji na mauaji
ya Abushir Ibn Salim Al Harthi, mtawala/sultani
wa Pangani Tang...