
Rapper Chidi Benz amefanikiwa kuirudisha afya yake baada ya kuachana na matumizi ya Madawa ya kulevya.
Mapema mwaka huu katika kituo 
kimoja cha runinga Chidi Benz alikiri kutumia Madawa ya kulevya na 
kuomba msaada ambapo meneja Diamond na Tip Top Connection, Babu Tale 
akishirikiana na Kalapina walimsaidia na kumpeleka katika kituo cha 
Bagamoyo Sober House ambacho kilimsaidia kuachana na Matumizi ya madawa 
ya kulevya.
Jumatano hii katika mitandao ya 
kijamii kumesambaa picha mpya za rapper huyo zikimuonyesha jinsi 
alivyopendeza hali ambayo imewafanya mashabiki kumpongeza Tabu Tale.

Chid Benzi akiwa  na Babu Tale 
 
 RSS Feed
 Twitter

3:13 PM
MZM
 Posted in 
0 comments:
Post a Comment