Mkazi wa Dar es Salaam, Goodluck Madaraka anayedaiwa kujeruhiwa na 
risasi wakati wa mkesha wa sherehe ya harusi eneo la Tabata Kisukulu 
usiku wa kuamkia jana, akiwa katika eneo hilo lililogeuka kuwa la msiba 
jana, baada ya mwenzake Salim Ally kudaiwa kuuawa kwa risasi na jirani 
yao aliyekerwa na kelele za muziki wakati wa sherehe hiyo. Picha na 
Kalunde Jamal  
si. Katika hali isiyokuwa ya kawaida, mwanamume mmoja amewafyatulia
 risasi watu wawili na kusababisha kifo cha mmoja kwa kile kinachodaiwa 
kumletea usumbufu wakati wa mkesha wa haru