Askari polisi Deogratius wa Kituo cha Polisi, Kinesi Wilayani Rorya
mkoani Mara, amechomwa mkuki na wananchi waliovamia mgodi wa dhahabu wa
ACACIA North Mara kwa lengo la kupora mawe...
Mkazi wa Dar es Salaam, Goodluck Madaraka anayedaiwa kujeruhiwa na
risasi wakati wa mkesha wa sherehe ya harusi eneo la Tabata Kisukulu
usiku wa kuamkia jana, akiwa katika eneo hilo lililogeuka kuwa la msiba
jana, baada ya mwenzake Salim Ally kudaiwa kuuawa kwa risasi na jirani
yao aliyekerwa na kelele za muziki wakati wa sherehe hiyo. Picha na
Kalunde Jamal &nb...
Kijana Amosi Ng’arare Marale Sasi,(22) anayesumbuliwa na uvimbe usoni.
Alikuja Muhimbili ili akafanyiwe upasuaji India, alipelekwa akarudishwa bila kutibiwa, awaita ndugu zake hospitalini.
Kijana Amosi Ng’arare Marale Sasi,(22) mkazi wa Kijiji cha Kizaru,
Kata ya Mryaza, wil...
Mwanamke (Doreen John Mlemba) anayedaiwa kukamatwa na unga.
MWANAMKE
mmoja aliyetambuliwa kwa jina la Doreen John Mlemba, mwenyeji wa Same
mkoani Kilimanjaro, mwishoni mwa mwaka uliopita alikamatwa kwa
kuhusishwa na shehena ya madawa ya kulevya aina ya Heroin, yenye thamani
ya shilingi bilioni 2.5.
Madawa
hayo yalikutwa kwenye nyumba moja iliyopo eneo la
Ununio, Tegeta jijini
Dar es...
Kocha
wa Atletico Madrid Diego Simeone amesema Fernando Torres amerejea kuwa
''mwanaume'' ndivyo alivyomuita hivyo baada ya mshambuliaji huyo kufunga
magoli yake ya kwanza tangu alipojiunga na Atletico madrid.
Mchezaji wa kimataifa wa Uhispania Torres alijiunga na Liverpool mwaka 2007.
Torres
alijiunga na Atletico mwanzoni mwa mwezi huu na aliifungia klabu hiyo
magoli mawili...
Mkazi wa Dar es Salaam, Goodluck Madaraka anayedaiwa kujeruhiwa na
risasi wakati wa mkesha wa sherehe ya harusi eneo la Tabata Kisukulu
usiku wa kuamkia jana, akiwa katika eneo hilo lililogeuka kuwa la msiba
jana, baada ya mwenzake Salim Ally kudaiwa kuuawa kwa risasi na jirani
yao aliyekerwa na kelele za muziki wakati wa sherehe hiyo. Picha na
Kalunde Jamal
si. Katika hali isiyokuwa ya kawaida, mwanamume mmoja amewafyatulia
risasi watu wawili na kusababisha kifo...