Thursday, January 22, 2015

Askari polisi Deogratius wa Kituo cha Polisi, Kinesi Wilayani Rorya mkoani Mara, amechomwa mkuki na wananchi waliovamia mgodi wa dhahabu wa ACACIA North Mara kwa lengo la kupora mawe...
Mkazi wa Dar es Salaam, Goodluck Madaraka anayedaiwa kujeruhiwa na risasi wakati wa mkesha wa sherehe ya harusi eneo la Tabata Kisukulu usiku wa kuamkia jana, akiwa katika eneo hilo lililogeuka kuwa la msiba jana, baada ya mwenzake Salim Ally kudaiwa kuuawa kwa risasi na jirani yao aliyekerwa na kelele za muziki wakati wa sherehe hiyo. Picha na Kalunde Jamal &nb...
  Kijana Amosi Ng’arare Marale Sasi,(22) anayesumbuliwa na uvimbe usoni. Alikuja Muhimbili ili akafanyiwe upasuaji India, alipelekwa akarudishwa bila kutibiwa, awaita ndugu zake hospitalini. Kijana Amosi Ng’arare Marale Sasi,(22) mkazi wa Kijiji cha Kizaru, Kata ya Mryaza, wil...
Mwanamke (Doreen John Mlemba) anayedaiwa kukamatwa na unga. MWANAMKE mmoja aliyetambuliwa kwa jina la Doreen John Mlemba, mwenyeji wa Same mkoani Kilimanjaro, mwishoni mwa mwaka uliopita alikamatwa kwa kuhusishwa na shehena ya madawa ya kulevya aina ya Heroin, yenye thamani ya shilingi bilioni 2.5. Madawa hayo yalikutwa kwenye nyumba moja iliyopo eneo la Ununio, Tegeta jijini Dar es...

Friday, January 16, 2015

...
PAKUA WIMBO WA GOOD TI...
Kocha wa Atletico Madrid Diego Simeone amesema Fernando Torres amerejea kuwa ''mwanaume'' ndivyo alivyomuita hivyo baada ya mshambuliaji huyo kufunga magoli yake ya kwanza tangu alipojiunga na Atletico madrid. Mchezaji wa kimataifa wa Uhispania Torres alijiunga na Liverpool mwaka 2007. Torres alijiunga na Atletico mwanzoni mwa mwezi huu na aliifungia klabu hiyo magoli mawili...
Mkazi wa Dar es Salaam, Goodluck Madaraka anayedaiwa kujeruhiwa na risasi wakati wa mkesha wa sherehe ya harusi eneo la Tabata Kisukulu usiku wa kuamkia jana, akiwa katika eneo hilo lililogeuka kuwa la msiba jana, baada ya mwenzake Salim Ally kudaiwa kuuawa kwa risasi na jirani yao aliyekerwa na kelele za muziki wakati wa sherehe hiyo. Picha na Kalunde Jamal   si. Katika hali isiyokuwa ya kawaida, mwanamume mmoja amewafyatulia risasi watu wawili na kusababisha kifo...