Saturday, October 31, 2015

FULL-TIME: #LFC defeat Chelsea Football Club 3-1 at Stamford Bridge thanks to a Philippe Coutinho brace and a goal from substitute Christian Benteke. ...
Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Wabunge ambao wataingia Bungeni baada ya uchaguzi Mkuu uliofanyika nchini kote Oktoba 25, 2015 ni kama ifuatavyo.  Idadi kubwa ya wabunge hao ni kutoka chama tawala cha CCM, ikifuatiwa na Chadema na CUF na vyama vingine kama NCCR-Mageuzi na ACT-Wazalendo. WABUNGE WALIOSHINDA KUPITIA CCM Jimbo la Busega (Raphael Chegeni), Nyamagana (Stanslaus Mabula),...
 Blog ya mzalendo mweusi wanakuletea matokeo ya darasa la saba mwaka 2015 Bofya hapa kuangalia matokeo ya darasa la saba Waweza pia kuchagua mkoa unaotaka kwa kubofya kwenye mkoa husika ARUSHA DAR ES SALAAM DODOMA IRINGA KAGERA KIGOMA KILIMANJARO LINDI MARA MBEYA MOROGORO MTWARA MWANZA PWANI RUKWA RUVUMA SHINYANGA SINGIDA TABORA TANGA MANYARA GEITA KATAVI NJOMBE SIMIYU ...

Friday, October 30, 2015

 Msafara wa Bw Magufuli umelindwa vikali na maafisa wa usalama 11:30am: Msafara wa Rais mteule John Magufuli pamoja na ule wa Rais Jakaya Kikwete waelekea ikulu chini ya ulinzi mkali. ...

Friday, October 23, 2015

  Visa vya albino kushambuliwa na kukatwa viungo huongezeka sana wakati wa uchaguzi Mwanamume mwenye ulemavu wa ngozi anauguza majeraha baada ya kushambuliwa na watu wasiojulikana eneo la Mkuranga, Tanzania. Shambulio hilo dhidi ya albino huyo limetokea siku chache tu kabla ya uchaguzi mkuu kufanyika. Kumekuwepo na wasiwasi kwamba huenda watu wenye ulemavu wakashambuliwa zaidi...

Saturday, October 17, 2015

 Aliyekuwa Mbunge wa Ludewa, Deo Filikunjombe enzi za Uhai wake.  Msaidizi wa Mbunge huyo, Casablanga Haule enzi za Uhai wake.  Padri Plasdus Ngabuma enzi za Uhai wake.  Waombolezaji wakiwa wamebeba jeneza lenye mwili wa aliyekuwa Mbunge wa Ludewa, Deogratias Filikunjombe wakati wa ibada ya kuuaga iliyofanyika nyumbani kwake Kijichi Dar es Salaam...
Mke wa marehemu Deogratias Filikunjombe, Sarah Filikunjombe (kushoto) akilia kwa uchungu baada ya kupata tarifa za kifo cha mumewe.Ndugu, jamaa na marafiki wakionekana wenye huzuni nyumbani kwa Deogratias Filikunjombe.Nyumbani kwa Deogratias Filikunjombe Mbagala Kijichi, Dar es Salaam.Capt. William Silaa enzi za uhai wake.Filikunjombe akiwaaga wananchi wake.Mbunge wa Ludewa...

Thursday, October 8, 2015

Kundi la wafungwa kutoka New York limeshinda mdahalo dhidi ya kundi kutoka Chuo Kikuu cha Harvard, chuo kilichoorodheshwa bora zaidi duniani. Wafungwa hao kutoka Eastern New York Correctional Facility walikuwa wamewaalika wanafunzi hao kutoka Harvard kwa shindano la mjadala gerezani. Kwenye mdahalo huo, wafungwa walitetea msimamo kwamba watoto wa wazazi walioingia Marekani kinyume cha sheria...
Mchoraji wa miundo ya magari nchini India Sudhakr Yadav amejaribu kuweka rekodi ya pili ya Guiness kwa kutengeneza gari analotumai litakuwa ndilo kubwa zaidi duniani. Gari hilo, ambalo limeundwa likifanana na gari aina ya Ford Toure lililoundwa mwaka 1922, lina urefu wa futi 26 (mita 8) kwenda juu na ukubwa wa futi 50 lina ukubwa maradufu wa basi lililo na ghorofa mbili mjini Londo...

Sunday, October 4, 2015

Mwanasiasa mkongwe na Mwenyekiti wa chama cha kisiasa cha  DP Christopher Mtikilaamefariki dunia alfajiri ya leo wakati akitokea Morogoro kuelekea Dar es salaa...