Wednesday, April 29, 2015

Indonesia imewauwa wasafirishaji nane wa madawa ya kulevya siku ya Jumatano, wakiwemo raia saba wa kigeni, hatua iliyolaaniwa vika nya Australia na Brazil, zilizojaribu kuwaokoa raia wake bila mafanikio. Indonesia imetete hatua yake hiyo ikiitaja kuwa ni muhimu katika mapambano dhidi ya madawa ya kulevya, na kusema haina wasiwasi kuhusiana na hatua zilizochukuliwa na Australia...
Maelfu ya maafisa wa polisi nchini Marekani wameamriwa kuwasaidia maafisa waliozingirwa mjini Baltimore, baada ya ghasia zilizosababishwa na waandamanaji waliojawa na hasira, kufuatia kifo cha Mmarekani mweusi. Muandamanaji akiwafokea polisi waliokuwa wanajaribu kudhibiti hali mjini Baltimore Watu 27 wametiwa nguvuni huku polisi 15 wakijeruhiwa wakati waandamanaji hao wengi wao wanafunzi...
Chama tawala nchini Afrika Kusini African National Congress ANC kimelaani wimbi la mashambulizi dhidi ya raia wa kigeni ambayo yamesababisha vifo vya watu sita na kusababisha hali ya wasiwasi nchini humo Taarifa kutoka kwa chama cha ANC imesema katika kipindi cha majuma kadhaa sasa, taifa la Afrika Kusini limeghubikwa na wimbi la mashambulizi ya kufedhehesha yanayowalenga raia wa...
Mapambano dhidi ya mauaji ya albino Juhudi za kukabiliana na mauaji ya watu wenye ulemavu wa ngozi nchini Tanzania zinapata nguvu mpya kupitia kampeni mbalimbali zinazolenga kuhamasisha jamii kupinga vitendo hivyo vya kinyama. Watoto wenye ulemavu wa ngozi katika shule ya msingi ya Mitindo. Pamoja na kampeni kadhaa zilizoanzishwa, siku ya Jumapili (tarehe 15 Machi) kulitarajiwa...
Nyasa Professionals: WELCOME TO NYASA PROFESSIONALS: This is our Official L...

Tuesday, April 21, 2015

Serikali imerejesha mafunzo ya madereva kila baada ya miaka mitatu wakati wa kumalizika kwa muda wa leseni zao, huku ikifafanua kuwa elimu watakayoipata ina umuhimu katika kazi zao, kutokana na mabadiliko mbalimbali yanayotokea katika sekta hiyo.   Naibu Waziri wa Kazi na Ajira, Makongoro Mahanga, alitangaza uamuzi huo wa Serikali jana katika mkutano kati...

Sunday, April 19, 2015

 wewe  ni  dereva  wa basi la abiria ama  gari  binafsi ?hebu  chukua  hatua ya  kupunguza ajali  leo kwa kujihadhari na  kona  hizi na Iyovi na Kitonga na  kona  nyingine kali kama  hizi nchini kwani maisha  yako ni  dhamani  kubwa na uhai  wake bado tunautamani  Vema  kuheshimu...