wewe 
 ni  dereva  wa basi la abiria ama  gari  binafsi ?hebu  chukua  hatua 
ya  kupunguza ajali  leo kwa kujihadhari na  kona  hizi na Iyovi na 
Kitonga na  kona  nyingine kali kama  hizi nchini kwani maisha  yako ni 
 dhamani  kubwa na uhai  wake bado tunautamani 
 Katika kona  kama  hizi  zingatia  alama  za usalama  barabarani  usiwe na haraka  ya  kulipita gari la mbele
Kulipita gari la  mbele katika kona kama  hizi ni kutafuta ajali 
 Usilipite gari katika  kona  
 Alama  zote  za barabarani ni msaada kwa maisha  yako lazima  uziheshimu 
 Kona  zote ni hatari kwa usalama  wako hivyo  usihame saiti  yako ili  kukimbia ajali 
 Lazima  unapotaka  kulipita gari la  mbele uwe una uwezo wa kuona mbali  zaidi ya mita  100 ama  zaidi 
 Dereva makini halipiti gari  la  mbele katika  kona 
 RSS Feed
 Twitter

2:53 AM
MZM
 Posted in 
0 comments:
Post a Comment