Makamu wa rais wa Tanzania Bi Samia Suluhu Hassan alihudhuria mkutano huo
Chama cha Mapinduzi kimewataka wanachama wake visiwani Zanzibar kujiandaa kwa marudio ya uchaguzi.
Tamko
hilo limetolewa huku mazungumzo hakiendelea kutafuta suluhu ya mzozo
kuhusu matokeo ya uchaguzi wa Oktoba 25 ambayo yalifutiliwa mbali.
Wito
wa wafuasi kujiandaa...
Monday, December 28, 2015
Saturday, December 12, 2015


Watu zaidi ya 200 wameuawa Burundi tangu kuanza kwa machafuko Aprili
Miili zaidi ya 34 imepatikana katika barabara za mji mkuu wa Burundi huku machafuko yakiendelea.
Mwandishi wa BBC ameona maiti 21 katika mtaa mmoja wa Bujumbura na maafisa wa serikali wamesema kuna miili mingine 13.
Maiti nyingi zinaonekana kuwa za vijana waliouawa kwa kupigwa risasi, baadhi wakiwa wamefungwa mikono yao ikiwa...


Hannibal amekuwa kwenye kizuizi cha nyumbani Oman tangu 2012
Mwana wa kiume wa
aliyekuwa kiongozi wa Libya Muammar Gaddafi, Hannibal, ameachiliwa huru
baada ya kutekwa nyara kwa muda na kundi la wapiganaji, duru za
kiusalama zinasema.
Kwenye video iliyoonyeshwa kwenye runinga ya
Lebanon, mfanyabiashara huyo alionekana akiitisha habari zaidi...
Friday, December 11, 2015


Tanzania na Nigeria ndizo nchi pekee zenye maabara ya aina hiyo Afrika kusini mwa jangwa la Sahara
Tanzania ni moja
kati ya nchi zilizofanikiwa duniani kuratibu maabara inayohamishika kwa
ajili ya mapambano dhidi ya Ebola na magonjwa mengineyo ya mlipuko.
Maabara
hii inaweza kusafirishwa mpaka kwenye maeneo yaliyoathirika, ikiwa
ndani...
Tuesday, December 8, 2015


Samuel L Jackson ni mmoja wa Wamarekani weusi waliofanikiwa sana Hollywood
Nyota wa Hollywood
Samuel L Jackson atahamia Afrika Kusini iwapo Donald Trump atashinda
uchaguzi wa urais Marekani, tovuti ya News 24 imeripoti.
Trump,
mmoja wa wanaowania tiketi ya kugombea urais Marekani kupitia chama cha
Republican, ameshutumiwa vikali baada ya kupendekeza...
Wednesday, December 2, 2015


Polisi wenye silaha wakipiga doria katika eneo palipotokea mauaji hayo.
Polisi nchini Marekani imesema
takriban watu 14 wameuawa na wengine 14 kujeruhiwa baada ya kupigwa
risasi na watu wenye silaha katika mji wa San Bernadino mashariki mwa
Los Angeles.
Polisi mjini humo inasema tukio hilo imetokea kwenye kituo cha
huduma kwa watu wenye ulemavu na inawezekana...
Subscribe to:
Posts (Atom)