Haijabainika ni nani anayeteketeza makanisa hayo
Makanisa manne yameteketezwa katika mkoa wa Kagera, kaskazini magharibi mwa Tanzania na kufikisha saba, idadi ya makanisa yaliyochomwa moto eneo hilo mwezi huu.
Hadi sasa haijabainika ni kundi gani linalohusika na vitendo hivyo, kwa mujibu wa polisi.
Lakini baadhi ya viongozi wa dini wameambia mwandishi wa BBC Leonard Mubali kuwa huenda ni matokeo...
Tuesday, September 29, 2015
Sunday, September 27, 2015
Saturday, September 26, 2015
Saturday, September 19, 2015
Friday, September 11, 2015
Tuesday, September 8, 2015


Mkuu
wa Kitengo cha Mawasiliano wa Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa
Nchini, Monica Laurent (kushoto), akizungumza na wanahabari wakati
akimkaribisha msemaji wa mkutano huo kuzungumza na waandishi.
Msajili
Msaidizi wa Vyama vya Siasa nchini, Sisty Nyahoza (kushoto),
akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam leo
asubuhi, kuhusu vyama vya siasa vyenye usajili wa...
Wednesday, September 2, 2015



Mwanamke mmoja
aliyekuwa akitumia choo cha muda, alibebwa na kupelekwa sehemu nyingine
wakati choo hicho kilipoinuliwa juu na tracta kimakosa na kuhamishwa
hadi eneo lingine.
Mwanamke huyo
alikuwa ameenda kutumia choo hicho kabla ya ufunguzi wa tamasha la
Newlyn Fish Festival, Cornwall nchini Uingere...
Subscribe to:
Posts (Atom)