Tuesday, September 29, 2015

Haijabainika ni nani anayeteketeza makanisa hayo Makanisa manne yameteketezwa katika mkoa wa Kagera, kaskazini magharibi mwa Tanzania na kufikisha saba, idadi ya makanisa yaliyochomwa moto eneo hilo mwezi huu. Hadi sasa haijabainika ni kundi gani linalohusika na vitendo hivyo, kwa mujibu wa polisi. Lakini baadhi ya viongozi wa dini wameambia mwandishi wa BBC Leonard Mubali kuwa huenda ni matokeo...

Sunday, September 27, 2015

Naibu spika wa bunge Job Dungai, yeye ndiye kashikilia rungu, Ripoti " ijadiliwe au la"Mbunge wa Kigoma Kaskazini (CHADEMA), Ambaye pia ni mwenyekiti wa kamati ya bunge ya hesabu za serikali, (PAC), Zitto Kabwe. Taarifa ya CAG kuhusu akaunti nya Tegeta Escrow, iko mikononi mwa...

Saturday, September 26, 2015

   Mpagi Edward Edmary Mnamo mwaka 1982 Mpagi Edward Edmary ,dereva wa texi nchini Uganda alipewa hukumu ya kifo kwa mauaji ya kinyama ya jirani yake. Licha ya Edward kuwa mtu asiye na hatia hakuhukumiwa na mauaji yoyote. Edward alisingiziwa katika mgogoro wa shamba wa famili...

Saturday, September 19, 2015

  Rais Barack Obama amemteua Eric Fanning kuwa katibu mpya katika jeshi la Marekani.  Rais wa Marekani Barack Obama amemteua Eric Fanning kuwa katibu mpya katika jeshi la Marekan...

Friday, September 11, 2015

hii ndio shule ya Sekondari Masimbwe aiko wilayani Ludewa kata mpya ya Lubonde  Mkuu wa shule ya Masimbwe Mwalimu Eliud Sa...

Tuesday, September 8, 2015

Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano wa Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa Nchini, Monica Laurent (kushoto), akizungumza na wanahabari wakati akimkaribisha msemaji wa mkutano huo kuzungumza na waandishi. Msajili Msaidizi wa Vyama vya Siasa nchini, Sisty Nyahoza (kushoto), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam leo asubuhi, kuhusu vyama vya siasa vyenye usajili wa...

Wednesday, September 2, 2015

  Mwanamke mmoja aliyekuwa akitumia choo cha muda, alibebwa na kupelekwa sehemu nyingine wakati choo hicho kilipoinuliwa juu na tracta kimakosa na kuhamishwa hadi eneo lingine. Mwanamke huyo alikuwa ameenda kutumia choo hicho kabla ya ufunguzi wa tamasha la Newlyn Fish Festival, Cornwall nchini Uingere...