Makanisa manne yameteketezwa katika mkoa wa Kagera, kaskazini magharibi mwa Tanzania na kufikisha saba, idadi ya makanisa yaliyochomwa moto eneo hilo mwezi huu.
Hadi sasa haijabainika ni kundi gani linalohusika na vitendo hivyo, kwa mujibu wa polisi.
Lakini baadhi ya viongozi wa dini wameambia mwandishi wa BBC Leonard Mubali kuwa huenda ni matokeo ya uhasama wa kidini.
Kuchomwa kwa makanisa hayo kumeongeza hofu kwa viongozi wa makanisa na waumini kuhusu usalama wao.
 RSS Feed
 Twitter

11:19 AM
MZM
Naibu spika wa bunge Job Dungai, yeye ndiye kashikilia rungu, Ripoti " ijadiliwe au la"
Mbunge
 wa Kigoma Kaskazini (CHADEMA), Ambaye pia ni mwenyekiti wa kamati ya 
bunge ya hesabu za serikali, (PAC), Zitto Kabwe. Taarifa ya CAG kuhusu 
akaunti nya Tegeta Escrow, iko mikononi mwake


