Mkuu
 wa Kitengo cha Mawasiliano wa Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa 
Nchini, Monica Laurent (kushoto), akizungumza na wanahabari wakati 
akimkaribisha msemaji wa mkutano huo kuzungumza na waandishi.
Msajili
 Msaidizi wa Vyama vya Siasa nchini, Sisty Nyahoza (kushoto), 
akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam leo 
asubuhi, kuhusu vyama vya siasa vyenye usajili wa kudumu ambavyo 
ninastahili kushiriki uchaguzi mkuu. Kulia ni Mkurugenzi wa Utawala na 
Rasilimali Watu, Emmanuel Kayuni. 
Mkutano na wanahabari ukiendelea.
Mwanahabari wa gazeti la Nipashe, Theresia akiwa mbele ya kamera wakati wa mkutano huo.
Wanahabari wakichukua taarifa hiyo kwenye mkutano huo.
Wanahabari wakichukua taarifa hiyo.
(Imeandaliwa na mtandao wa www. habari za jamii.com-simu namba 0712-727062)
 RSS Feed
 Twitter

2:15 AM
MZM
 Posted in 
0 comments:
Post a Comment