...
Tuesday, May 31, 2016
Monday, May 30, 2016


Chuo kikuu cha Dodoma
Wanafunzi katika
chuo kikuu cha Dodoma nchini Tanzania wamefukuzwa chuoni humo baada ya
kuzuka kwa mgogoro kati ya serikali na wahadhiri wa chuo hicho.
Wanafunzi hao waliagizwa kuondoka katika chuo hicho kufikia saa kumi na mbili jioni siku ya Jumapili.
Ilani
Ilani hiyo imesema...
Thursday, May 26, 2016


Mwigizaji Jackline Wolper jana
amefanya mahojiano na Zamaradi Mketema kwenye kipindi cha TakeOne na
kuzungumzia mambo mengi kuhusu yeye na aliyekuwa mpenzi wake Putin
‘Mkongo’ aliyemvisha pete, na uhusiano wake na msanii Harmonize.
‘Ni kweli Raj (Harmonize)ni
mpenzi wangu,ukweli nilimjua siku nyingi nilikuwa nikimchukulia kama
mwanamuziki tu, tuna mwezi mmoja na wiki mbili sasa’’...
Tuesday, May 24, 2016
Monday, May 23, 2016



Kialama cha WhatsApp
WhatsApp
imepitia mabadiliko mengi, na imekuwa kati ya applications zinazotumika
na kupendwa zaidi duniani. Baada ya kununuliwa na Facebook,
waendelezaji walianza kuongeza vitu vipya kama kupiga simu za sauti,
kuweza kutuma mafaili, na kuongezwa kwa usalama zaidi. Kwasasa, WhatsApp
ni moja kati ya application yenye watumiaji wengi zaidi, ikiwa na
angalau watumiaji...
Saturday, May 21, 2016



Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli ametengua
uteuzi wa Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mheshimiwa Charles Kitwanga
kuanzia leo tarehe 20 Mei, 2016.
Rais
Magufuli ametengua uteuzi huo kufuatia kitendo cha Mheshimiwa Charles
Kitwanga kuingia bungeni na kujibu swali linaloihusu wizara ya Mambo ya
Ndani ya Nchi akiwa amelewa.
Gerson Msigwa
Kaimu...
Friday, May 20, 2016


Shambulio lilitekelezwa wakati wa swala jioni
Polisi nchini
Tanzania wanawazuilia watu watatu wanaotuhumiwa kuhusika shambulio
katika msikiti mmoja mjini Mwanza magharibi mwa nchi hiyo.
Watu
watatu, akiwemo Imam, walifariki wakati wa shambulio hilo
lililotekelezwa katika msikiti wa Rahman wakati wa swala ya usiku siku
ya Jumatano.
Kwa mujibu...


Staa wa Marekani, Ne-Yo jana usiku alitua jijini Dar es Salaam akitokea Marekani akiwa na ulinzi mkali.
Muimbaji huyo wa ‘Miss Independent’ alitua kwenye uwanja wa ndege wa
kimataifa wa Julius Nyerere mida ya saa tano kasoro usiku. Staa huyo
aliyekuwa amevaa nguo zote nyeusi na kofia ambayo alikuwa ameifunika na
hood aliwapungia mkono waandishi wa habari na mashabiki waliokuwa
wamejitokeza kumpokea kabla ya kuingia moja kwa moja kwenye gari na
kufunga vioo.
Mlinzi wake pandikizi la mtu,...


Drake amezidi kuonyesha ubora wake kwenye tuzo za BET zitakazofanyika, Juni 26 huko Los Angeles, Marekani.
Mwaka 2016 umekuwa wa neema kwa Drake baada ya kuonekana mara tisa
kati ya vipengele sita alivyowekwa akifuatiwa na Beyonce pamoja na
Rihanna. Pia albamu yake ya ‘Views’ inazidi kushika namba moja kwenye
chati za Billboard baada ya kuuza nakala zaidi ya milioni 1.04 ndani ya
wiki mbili...
Wednesday, May 4, 2016


Mvulana huyo amepewa $10,000
Mvulana wa umri wa miaka 10 nchini Finland ameshangaza wengi baada ya kugundua udhaifu katika mtandao wa kijamii wa Instagram.
Mvulana
huyo kwa jina Jani ametunukiwa $10,000 (£7,000) baada ya kugundua
udhaifu huo uliowezesha mtu kuingia kwenye mtandao huo wa kusambaza
picha na kufuta maoni ya watu.
Jambo la...


Kanali Bagaza alikuwa na umri wa miaka 69
Rais wa zamani wa Burundi Kanali Jean-Baptiste Bagaza amefariki akitibiwa nchini Ubelgiji.
Kanali Bagaza amekuwa akitibiwa kwa muda katika hospitali ya Sainte Elisabeth mjini Brussels.
"Imethibitishwa,
rais wa zamani Jean Baptiste Bagaza amefariki dunia akiwa nchini
Ubelgiji,2 ameandika mshauri wa rais...
Tuesday, May 3, 2016


Afeni Shakur
Mamaake aliyekuwa mwanamuziki wa mtindo wa Rap Tupac Shakur ,Afeni Shakur amefariki akiwa na umri wa miaka 69.
Kaunti ya California imethibitisha kifo chake kupitia ujumbe wa Twitter.Hakuna maelezo zaidi yaliotolewa.
Alice
Faye Williams,alibadilisha jina lake na kuitwa Shakur akiwa mtu mzima
alipokuwa mwanaharakati wa kisiasa na...


IMF: Uchumi wa Tanzania waongoza Afrika Mashariki
Tanzania
inatarajiwa kusajili kiwango cha juu zaidi cha ukuaji wa uchumi wake
mwaka huu katika kanda ya Afrika Mashariki na kati.
Hii ni kwa mujibu wa ripoti ya shirika la fedha la kimataifa - IMF.
Katika
ripoti yake iliyotolewa hii leo Tanzania inatarajiwa kusajili kiwango
cha juu cha ukuaji...
Subscribe to:
Posts (Atom)