Rais
 wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli ametengua 
uteuzi wa Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mheshimiwa Charles Kitwanga 
kuanzia leo tarehe 20 Mei, 2016.
Rais
 Magufuli ametengua uteuzi huo kufuatia kitendo cha Mheshimiwa Charles 
Kitwanga kuingia bungeni na kujibu swali linaloihusu wizara ya Mambo ya 
Ndani ya Nchi akiwa amelewa.
Gerson Msigwa
Kaimu Mkurugenzi wa Mawasiliano, IKULU
Dar es salaam
 RSS Feed
 Twitter

2:51 AM
MZM

 Posted in 
0 comments:
Post a Comment