Monday, July 27, 2015

  Bobbi Kristina afariki Dunia Bobbi Kristina Brown ,mtoto wa marehemu Whitney Houston ambaye alikuwa gwiji wa muziki wa R&B ,amefariki dunia baada ya kupoteza fahamu kwa muda wa miezi sita tangu alipokutwa taabani kwenye bafu lake na pindi alipofikishwa hospitalini na kukutwa na matatizo kwenye ubongo. Bobbi amekufa akiwa na umri wa miaka 22,huku...

Sunday, July 26, 2015

RAIS WA MAREKANI BARRACK OBAMA AMEKAMILISHA ZIARA YAKE YA SIKU TATU NCHINI KENYA AMBAPO ALIFUNGUA KONGAMANO LA KIBIASHARA AKAWAHUTUBIA WAKENYA KATIKA UWANJA WA KASARANI NA BAADAYE KUZUNGUMZA NA VIONGOZI WA MASHIRIKA YA KIJAMII KATIKA CHUO KIKUU CHA KENYATTA 16.18pm:Ndege ya rais Obama yaondoka katika uwanja wa Jomo Kenyatta 16.13pm:Rais Obama awasili katika uwanja wa ndege wa Jomo Kenyatta Jijini Nairobi na kulakiwa na rais Uhuru Kenyatta tayari...

Friday, July 24, 2015

BAADA mikasa na vituko kibao vya kidume kuchezea kichapo na kuvumilia kitambo huku thamani ya uume ikidhalilishwa front, kijana Nuhu Mziwanda kabwaga mazima, ni Couple iliyounganishwa na yeye na mwanadada mwenye kesi kwa Pilato Basata kwa kumwaga radhi Ughaibu Shilol...

Tuesday, July 21, 2015

  Rais Obama anatarajiwa kuzuru Kenya mwisho wa juma hili Hata baada ya Ubalozi wa Marekani kutanganza kuwa Rais Barack Obama hakusudii kutembelea eneo alikozaliwa baba yake Kogelo Magharibi mwa Kenya, bado matarajio ni makubwa miongoni mwa raia. Kogelo, kijiji ambacho hakikujulikana hata nchini Kenya zaidi ya miaka kumi iliyopita, hivi sasa kinatajwa...
Rais Pierre Nkurunziza Shughuli ya kuhesabu Kura imeanza nchini Burundi kufuatia uchaguzi wa urais ambao umeshutumiwa na wengi nchini humo na hata kimataifa. Rais Pierre Nkurunzinza anatarajiwa kupata ushindi mkubwa kwa muhula wa tatu huku upinzani ukisusia kabisa kura hiyo. Huku hayo yakijiri Marekani na Uingereza wamekashifu kura hiyo wakisema kuwa...
Rais Barack Obama Jeshi la Marekani linasema kuwa mmoja viongozi wa kundi la kigaidi la al-Qaeda, ameuwaua katika shambulio la angani lililotekelezwa na ndege za kijeshi za Marekani Nchini Syria. Idara ya ulinzi ya Pentagon imesema kuwa Muhsin al-Fadhli, alikuwa kinara wa kundi la Khorasan, lililotumwa na al-Qaeda,...
Utangulizi Nyanya ni zao la chakula na biashara. Kilimo cha zao hili hufanyika majira yote (masika na kiangazi), na faida hupatikana haraka na ni ya kuridhisha ikilinganishwa na mazao mengine. Pamoja na umuhimu wa zao hili, wadudu waharibifu na magonjwa huathiri uzalishaji na ubora wa matunda. Ili mkulima aweze kupata faida na kuongeza pato la kaya yake ni vema kuzingatia udhibiti wa magonjwa...
Maswala la mapenzi ya jinsia moja hayajaratibiwa katika mazungumzo baina yake na mgeni wake mashuhuri rais wa Marekani Barack Obama. Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya amesema kuwa maswala la mapenzi ya jinsia moja hayajaratibiwa katika mazungumzo baina yake na mgeni wake mashuhuri rais wa Marekani Barack Obama. Rais Kenyatta aliyasema hayo...
Baada mwanamitindo na msanii Jokate kuandika ujumbe mzito kwa Diamond Platnumz na kumshutumu kwa kuweka video inayomuonyesha akicheza wimbo wa “Mdogomdogo” Diamond alipoongea na 255 ya Clouds Fm alimjibu kwa kusema haya. Diamond amesema “Mimi nimempost kama fan wangu, ile caption yangu sijamuandika jina kwanini achukulie vibaya, ukiona mtu anajishuku ujue kuna namna...
Shukran Kubwa sana Zimfikie Mwenyez Mungu kwa Tuzo hii, na pia Shukran za Dhati Ziwafikie Wadau, Media, Wasanii na Mashabiki zangu wote kwa kunipigia kura na Kuhamasisha kwa Nguvu…Niushkuru sana Uongozi wangu, Familia pamoja na Team nzima ya @wcb_wasafi hususan Madancers wangu kwani Naamini wao ndio wamenipika nikapikika hadi leo hii kuweza kuletaTunzo hii Nzito ya Mtumbwizaji Bora Africa,...
http://files-download.avg.com/inst/av/avg_free_stb_all_2015_ltst_616.exe Ili kudownload bofya hapo juu...

Sunday, July 19, 2015

...
Ilisemekana kuwa Davido na Diamond wana Beef, Lakini Diamond na Davido bado wanazidi kudhihirisha kuwa hakuna Beef kati yao! Davido na Diamond Platnumz wamekutana nchini south Afrika ambapo wako katika maandalizi ya Tuzo za MTV ambazo zitafanyika Jumamosi hii nchini South Afrika. ...

Thursday, July 16, 2015

WAKILI Felix Kiprono aliyegonga vichwa vya habari baada ya kutoa azma yake ya kumuoa bintiye Rais Barack Obama, Malia sasa ametangaza kuwa ameamua kujiunga na dini ya Kiislamu. Kiprono, 24 aliambia Taifa Leo katika mahojiano kuwa atalichukua jina la Kiislamu la Adnan punde tu atakapomaliza masomo yake ya dini yaitwayo Tawhid. “Natarajia kuyamaliza masomo yangu ya Tawhid niliyoyaanza...

Tuesday, July 14, 2015

  Zaidi ya mahujaji 27 wameuawa kufuatia mkurupuko uliotokea katika warsha moja ya kidini katika jimbo la Andhra Pradesh nchini India. Zaidi ya mahujaji 27 wameuawa kufuatia mkurupuko uliotokea katika warsha moja ya kidini katika jimbo la Andhra Pradesh nchini India. Mkanyagano huo ulitokea wakati wa kuanza kwa sherehe za Maha Pushkaralu ambapo maelfu...
  Mtoto aliyekosha ulimwengu apewa msaada Mtoto wa miaka 9 aliyepigwa picha nje ya mkahawa wa Mac Donalds huko Ufilipino anaendelea kupokea msaada utakaomsaidia atimize ndoto yake ya kupata elimu. Daniel Cabrera alipigwa picha akiwa nje ya duka maarufu la Mac Donalds amejikunyata kwenye kibao anachokitumia kama meza ya kuwekea vitabu vyake akifanya...

Thursday, July 9, 2015

  Rais Jakaya Kikwete wa Tanzania Rais wa Tanzania Jakaya Kikwete anatarajiwa kuvunja Bunge la 10, mkutano wa 20 wa nchi hiyo. Hata hivyo mwandishi wa BBC aliyepo Dodoma, Sammy Awami anaarifu kwamba wabunge wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), kinachojumisha baadhi wa wabunge wa upinzani, wamesema hawatahudhuria ufungaji huo. Mwaka 2010 wakati Rais...
  Waziri mkuu wa zamani Uganda Amama Mbabazi Wagombea wawili wa urais katika uchaguzi unaotarajiwa kufanyika mwaka Ujao Uganda wamezuiwa na Polisi katika sehemu tofauti. Aliyekuwa waziri mkuu Amama Mbabazi alikamatwa na polisi akiwa mjini Jinja mwendo wa saa moja kutoka jijini Kampala, akiwa njiani kuelekea mkutano wake wa kwanza wa hadhara na wafuasi...

Wednesday, July 8, 2015

Kumekucha. Pengine hilo ndilo neno linalofaa kutumika kuelezea matokeo ya utafiti kuhusu viongozi wa vyama na Serikali nchini Tanzania ambao majina yao yanatajwa na  wananchi kuwa wanaweza kuwania nafasi ya urais kwenye uchaguzi mkuu mwakani. ADVERTISEMENT ...

Tuesday, July 7, 2015

Chama cha Mapinduzi (CCM) kimesema hakutakuwa na nafasi ya kukata rufaa kwa wanachama wa chama hicho walioomba ridhaa ya chama kupeperusha bendera ya CCM katika nafasi ya Urais iwapo majina yao yatakatwa. Kauli hiyo imetolewa mjini Dodoma leo na Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Chama hicho, Nape Nnauye alipokutana na waandishi wa habari wakati akitoa taarifa ya...

Sunday, July 5, 2015

Ndege inyaotumia nguvu za jua Ndege inayotumia umeme wa jua imetua mjini Hawaii baada ya kuweka historia ya kuruka kilomita 7,200 katika eneo la pacific kutoka Japan. Rubani Andre Borschberg aliishusha ndege hiyo polepole katika uwanja wa ndege wa Kalaelo...