Bobbi Kristina afariki Dunia
Bobbi
Kristina Brown ,mtoto wa marehemu Whitney Houston ambaye alikuwa gwiji
wa muziki wa R&B ,amefariki dunia baada ya kupoteza fahamu kwa muda
wa miezi sita tangu alipokutwa taabani kwenye bafu lake na pindi
alipofikishwa hospitalini na kukutwa na matatizo kwenye ubongo.
Bobbi amekufa akiwa na umri wa miaka 22,huku...
Monday, July 27, 2015
Sunday, July 26, 2015


RAIS WA MAREKANI
BARRACK OBAMA AMEKAMILISHA ZIARA YAKE YA SIKU TATU NCHINI KENYA AMBAPO
ALIFUNGUA KONGAMANO LA KIBIASHARA AKAWAHUTUBIA WAKENYA KATIKA UWANJA WA
KASARANI NA BAADAYE KUZUNGUMZA NA VIONGOZI WA MASHIRIKA YA KIJAMII
KATIKA CHUO KIKUU CHA KENYATTA
16.18pm:Ndege ya rais Obama yaondoka katika uwanja wa Jomo Kenyatta
16.13pm:Rais Obama awasili katika uwanja wa ndege wa Jomo Kenyatta Jijini Nairobi na kulakiwa na rais Uhuru Kenyatta tayari...
Friday, July 24, 2015
Tuesday, July 21, 2015


Rais Obama anatarajiwa kuzuru Kenya mwisho wa juma hili
Hata
baada ya Ubalozi wa Marekani kutanganza kuwa Rais Barack Obama
hakusudii kutembelea eneo alikozaliwa baba yake Kogelo Magharibi mwa
Kenya, bado matarajio ni makubwa miongoni mwa raia.
Kogelo, kijiji
ambacho hakikujulikana hata nchini Kenya zaidi ya miaka kumi iliyopita,
hivi sasa kinatajwa...


Rais Pierre Nkurunziza
Shughuli
ya kuhesabu Kura imeanza nchini Burundi kufuatia uchaguzi wa urais
ambao umeshutumiwa na wengi nchini humo na hata kimataifa.
Rais Pierre Nkurunzinza anatarajiwa kupata ushindi mkubwa kwa muhula wa tatu huku upinzani ukisusia kabisa kura hiyo.
Huku hayo yakijiri Marekani na Uingereza wamekashifu kura hiyo wakisema kuwa...


Rais Barack Obama
Jeshi
la Marekani linasema kuwa mmoja viongozi wa kundi la kigaidi la
al-Qaeda, ameuwaua katika shambulio la angani lililotekelezwa na ndege
za kijeshi za Marekani Nchini Syria.
Idara ya ulinzi ya Pentagon
imesema kuwa Muhsin al-Fadhli, alikuwa kinara wa kundi la Khorasan,
lililotumwa na al-Qaeda,...


Utangulizi
Nyanya ni zao la chakula na biashara. Kilimo cha zao hili hufanyika majira yote
(masika na kiangazi), na faida hupatikana haraka na ni ya kuridhisha ikilinganishwa
na mazao mengine. Pamoja na umuhimu wa zao hili, wadudu waharibifu na
magonjwa huathiri uzalishaji na ubora wa matunda. Ili mkulima aweze kupata faida
na kuongeza pato la kaya yake ni vema kuzingatia udhibiti wa magonjwa...


Maswala
la mapenzi ya jinsia moja hayajaratibiwa katika mazungumzo baina yake
na mgeni wake mashuhuri rais wa Marekani Barack Obama.
Rais
Uhuru Kenyatta wa Kenya amesema kuwa maswala la mapenzi ya jinsia moja
hayajaratibiwa katika mazungumzo baina yake na mgeni wake mashuhuri rais
wa Marekani Barack Obama.
Rais Kenyatta aliyasema hayo...


Baada mwanamitindo na msanii Jokate kuandika ujumbe mzito kwa Diamond
Platnumz na kumshutumu kwa kuweka video inayomuonyesha akicheza wimbo wa
“Mdogomdogo” Diamond alipoongea na 255 ya Clouds Fm alimjibu kwa kusema
haya.
Diamond amesema “Mimi nimempost kama fan wangu, ile caption yangu
sijamuandika jina kwanini achukulie vibaya, ukiona mtu anajishuku ujue
kuna namna...


Shukran
Kubwa sana Zimfikie Mwenyez Mungu kwa Tuzo hii, na pia Shukran za Dhati
Ziwafikie Wadau, Media, Wasanii na Mashabiki zangu wote kwa kunipigia
kura na Kuhamasisha kwa Nguvu…Niushkuru sana Uongozi wangu, Familia
pamoja na Team nzima ya @wcb_wasafi hususan Madancers wangu kwani
Naamini wao ndio wamenipika nikapikika hadi leo hii kuweza kuletaTunzo
hii Nzito ya Mtumbwizaji Bora Africa,...
Sunday, July 19, 2015
Thursday, July 16, 2015



WAKILI
Felix Kiprono aliyegonga vichwa vya habari baada ya kutoa azma yake ya
kumuoa bintiye Rais Barack Obama, Malia sasa ametangaza kuwa ameamua
kujiunga na dini ya Kiislamu.
Kiprono,
24 aliambia Taifa Leo katika mahojiano kuwa atalichukua jina la
Kiislamu la Adnan punde tu atakapomaliza masomo yake ya dini yaitwayo
Tawhid.
“Natarajia kuyamaliza masomo yangu ya Tawhid niliyoyaanza...
Tuesday, July 14, 2015


Zaidi
ya mahujaji 27 wameuawa kufuatia mkurupuko uliotokea katika warsha
moja ya kidini katika jimbo la Andhra Pradesh nchini India.
Zaidi
ya mahujaji 27 wameuawa kufuatia mkurupuko uliotokea katika warsha
moja ya kidini katika jimbo la Andhra Pradesh nchini India.
Mkanyagano
huo ulitokea wakati wa kuanza kwa sherehe za Maha Pushkaralu ambapo
maelfu...


Mtoto aliyekosha ulimwengu apewa msaada
Mtoto
wa miaka 9 aliyepigwa picha nje ya mkahawa wa Mac Donalds huko
Ufilipino anaendelea kupokea msaada utakaomsaidia atimize ndoto yake ya
kupata elimu.
Daniel Cabrera alipigwa picha akiwa nje ya duka
maarufu la Mac Donalds amejikunyata kwenye kibao anachokitumia kama
meza ya kuwekea vitabu vyake akifanya...
Thursday, July 9, 2015


Rais Jakaya Kikwete wa Tanzania
Rais wa Tanzania Jakaya Kikwete anatarajiwa kuvunja Bunge la 10, mkutano wa 20 wa nchi hiyo.
Hata
hivyo mwandishi wa BBC aliyepo Dodoma, Sammy Awami anaarifu kwamba
wabunge wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), kinachojumisha baadhi wa
wabunge wa upinzani, wamesema hawatahudhuria ufungaji huo.
Mwaka 2010 wakati Rais...


Waziri mkuu wa zamani Uganda Amama Mbabazi
Wagombea wawili wa urais katika uchaguzi unaotarajiwa kufanyika mwaka Ujao Uganda wamezuiwa na Polisi katika sehemu tofauti.
Aliyekuwa
waziri mkuu Amama Mbabazi alikamatwa na polisi akiwa mjini Jinja mwendo
wa saa moja kutoka jijini Kampala, akiwa njiani kuelekea mkutano wake
wa kwanza wa hadhara na wafuasi...
Wednesday, July 8, 2015
Tuesday, July 7, 2015


Chama cha Mapinduzi (CCM) kimesema
hakutakuwa na nafasi ya kukata rufaa kwa wanachama wa chama hicho
walioomba ridhaa ya chama kupeperusha bendera ya CCM katika nafasi ya
Urais iwapo majina yao yatakatwa.
Kauli hiyo imetolewa mjini Dodoma leo
na Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Chama hicho, Nape Nnauye alipokutana
na waandishi wa habari wakati akitoa taarifa ya...
Subscribe to:
Posts (Atom)