Bobbi
 Kristina Brown ,mtoto wa marehemu Whitney Houston ambaye alikuwa gwiji 
wa muziki wa R&B ,amefariki dunia baada ya kupoteza fahamu kwa muda 
wa miezi sita tangu alipokutwa taabani kwenye bafu lake na pindi 
alipofikishwa hospitalini na kukutwa na matatizo kwenye ubongo.
Bobbi amekufa akiwa na umri wa miaka 22,huku akivutiwa kuwa muigizaji na muimbaji mahiri na mwenye ubora wa aina yake.
RAIS WA MAREKANI 
BARRACK OBAMA AMEKAMILISHA ZIARA YAKE YA SIKU TATU NCHINI KENYA AMBAPO 
ALIFUNGUA KONGAMANO LA KIBIASHARA AKAWAHUTUBIA WAKENYA KATIKA UWANJA WA 
KASARANI NA BAADAYE KUZUNGUMZA NA VIONGOZI WA MASHIRIKA YA KIJAMII 
KATIKA CHUO KIKUU CHA KENYATTA 
16.10pm:Ndege iliombeba rais wa Marekani Barrack Obama imewasili katika uwanja wa ndege wa JKIA jijini Nairobi.
 RSS Feed
 Twitter

1:48 AM
MZM

