Friday, May 29, 2015

Benki ya Afrika ya Maendeleo, ADB imepata rais mpya, waziri wa kilimo wa Nigeria Akinwumi Adesina, ambaye amewashinda wapinzani 7 katika duru 6 za uchaguzi. Anachukua nafasi ya Donald Kaberuka anayemaliza muda wake. Akinwumi Adesina, rais mteule wa Benki ya Afrika ya Maendeleo, ADB. Akinwumi Adesina aliibuka mshindi baada ya duru sita za uchaguzi, zilizomalizika jana jioni katika makao...
Rais mpya wa Nigeria Muhammadu Buhari leo (29.05.2015) anaapishwa rasmi ili kuanza kuingia madarakani Viongozi kutoka Afrika na sehemu nyingine za dunia wanahudhuria sherehe za kuapishwa Rais huyo mjini Abuja. Rais mpya wa Nigeria Muhammadu Buhari Nigeria leo inakianza kipindi kipya cha historia.Wengi wanatathmini kuapishwa kwa Jenerali Buhari kuwa tukio muhimu kabisa katika historia ya...

Saturday, May 23, 2015

HUDUMA  za kijamii mkoani Mtwara jana zilisimama kutokana na baadhi ya wananchi kudai kuwa wanaomboleza vifo vya watu vilivyotokea wakati wa vurugu za gesi hivyo kupelekea huduma za kijamii kusimama.   Mmoja wa wananchi walioathiriwa na mgomo huo, Hilal John aliyekuwa safarini kuelekea Newala lakini alikosa usafiri kutokana na kumbukumbu hiyo alisema hatua hiyo imeathiri...

Thursday, May 21, 2015

benkaozlee Mshirikishe mwenzako     mshirikishe mwenzako Burundi: rais aonekana akicheza licha ya maandamano Rais wa Burundi, Pierre Nkurunziza ameonekana akicheza mpira pamoja na marafiki zake mjini Bujumbura licha ya mgogora wa kisiasa nchini mwake. ...
...

Tuesday, May 19, 2015

Ilikuwa ni shangwe na furaha pindi watu walipoweza kuona uimbo huu kwenye akaunti yangu ya fb na nika ona siyo vyema kuwaacha hihivi bila kuwaonjeshana nyinyi mashabiki zangu mnaonisapoti kwa kucheki nafanya nini kwenye akaunti yangu Posted by benkaoz...

Friday, May 15, 2015

Normal 0 false false false EN-US X-NONE X-NONE MicrosoftInternetExplorer4 ...

Thursday, May 14, 2015

Watch this my fans if you like you can comment on t...
KATIKA hali isiyokuwa ya kawaida, wanafunzi wa shule za msingi za Mwangaza na Ngarenaro, juzi walidaiwa kupata kipigo kutoka kwa vijana waliojiita ‘Makamanda’ wa umoja wa vyama vya siasa vya upinzani ujulikanao kama Ukawa, baada ya baadhi yao kufika katika mkutano huo uliofanyika viwanja vya karibu na shule yao.   Baadhi ya viongozi wakuu wa umoja huo, akiwemo mwanasheria...

Tuesday, May 12, 2015

 BEN POL KUJA NA REMIX YA SOPHIA KUTOKA CONGA MUSIC...    Waweza pia kucheki na kudownload video kutoka kitaa kwetu blog...

Wednesday, May 6, 2015

Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Ban Ki moon amelaani vikali shambulizi la waasi mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, ambalo limeuwa wanajeshi wawili wa umoja huo ambao wanatoka Tanzania. Wanajeshi wa Umoja wa Mataifa wakifanya doria Mashariki mwa Kongo Shambulizi hilo lilifanywa Jumanne jioni katika kijiji cha Kisiki, umbali wa km 38 Kaskazini mwa mji wa Beni. Mbali na wanajeshi...

Sunday, May 3, 2015

Tarehe May 3, 2015 Bomu lajeruhi watu watano mkoani Morogoro. Vijana wawili wanatafutwa na jeshi la Polisi mkoani Morogoro kwa kumrushia bomu dereva wa gari la mwenyekiti  wa Halmashauri ya wilaya ya Kilombero, David Ligazio ,Novatus Ngope (47), pamoja na kujeruhi watu wengine wanne walipokuwa kwenye sherehe za Siku ya Wafanyakazi...
Tarehe May 2, 2015 Mwanamuziki Naseeb Abdul, na mrembo Zari wakiingia ukumbini Wanamuziki Nay wa Mitego na Shetta wakiwa katika pozi Mwanamuziki Diamond akifanya majonjo kwa mama kijacho wake Zari Baadhi ya warembo waliotoa huduma katika hafla hiyo Baadhi ya warembo waliotoa huduma katika hafla hiy...
Tarehe May 2, 2015 Mwanamuziki Peter Okoye katika pozi Wanamuziki nchini Nigeria, Peter na Paul Okoye, wamekuwa wakikwaruzana mara kwa mara kiasi cha kuwashangaza watu kuwa iwaje ndugu wa damu wanakosana wakati wanafanya kazi kama timu. Hatua hiyo imepelekea Peter, kuweka wazi kuwa, kugombana kwao kusichukuliwe kama kitu...
Tarehe May 3, 2015 Msanii wa filamu nchini Tanzania, Weru Sengo katika pozi Wasanii Steve Nyerere na Weru Sengo, katika pozi Msanii wa filamu nchini Tanzania, Weru Sengo anadaiwa kuwa na uhusiano wa kimapenzi na msanii mwenzake Steve Nyerere, ambapo wamekuwa wakionekana sehemu mbalimbali wakila bata. Inadaiwa kuwa badala ya kutoka...
Rio Ferdinand akiwa na mkwewake Rebecca Ellison enzi za uhai wake Rebecca Ellison ambaye alikuwa ni mke wa mlinzi wa zamani wa klabu ya Manchester United na timu ya taifa ya Uingereza Rio Ferdinand amefariki dunia baada ya kusumbuliwa na maradhi ya kansa kwa muda mfupi. Rebecca alizaa watoto watatu na Ferdinand, watoto wao wanafahamika...
Tarehe May 1, 2015 Pacquiao (kushoto) akiwa na Mayweather na rekodi zaokwa pamoja Kuelekea pambano la ndondi la kukata na shoka kati ya Floyd Mayweather Jr dhidi ya Manny Pacquiao ‘Pac Man’ kuna orodha ya mabondia watano ambao kwa nyakati tofauti wamewahi kupambana na Mayweather na Pacquiao. Na hivi ndivyo namna ambavyo kila mmoja aliwashinda wapinzani hao. OSCAR...

Saturday, May 2, 2015

KWANZA KABISA WANAANZA TOA JENEZA LA ALIEKUFA KWA UGONJWA NA KUZANIWA AMEROGWA NA ALIYEZIKWA AKIWA HAI MAANA KATIKA KABURI HILO WALIZIWA WATU WAWILI KATIKA KABURI MOJA  ALIE HAI NA MFU JENEZA LA ALIEKUFA KWA UGONJWA TAYARI LIMETOLEWA HILO PEMBENI SASA ANAFUKULIWAALIEZIKWA HAI MWILI WA ALIEZIKWA AKIWA HAI SASA UNATOLEWA KABURI...