Benki ya Afrika ya Maendeleo, ADB imepata rais mpya, waziri wa kilimo wa
Nigeria Akinwumi Adesina, ambaye amewashinda wapinzani 7 katika duru 6
za uchaguzi. Anachukua nafasi ya Donald Kaberuka anayemaliza muda wake.
Akinwumi Adesina, rais mteule wa Benki ya Afrika ya Maendeleo, ADB.
Akinwumi Adesina aliibuka mshindi baada ya duru sita za uchaguzi,
zilizomalizika jana jioni katika makao...
Friday, May 29, 2015


Rais mpya wa Nigeria Muhammadu Buhari leo (29.05.2015) anaapishwa rasmi
ili kuanza kuingia madarakani Viongozi kutoka Afrika na sehemu nyingine
za dunia wanahudhuria sherehe za kuapishwa Rais huyo mjini Abuja.
Rais mpya wa Nigeria Muhammadu Buhari
Nigeria leo inakianza kipindi kipya cha historia.Wengi wanatathmini
kuapishwa kwa Jenerali Buhari kuwa tukio muhimu kabisa katika historia
ya...
Saturday, May 23, 2015



HUDUMA
za kijamii mkoani Mtwara jana zilisimama kutokana na baadhi ya wananchi
kudai kuwa wanaomboleza vifo vya watu vilivyotokea wakati wa
vurugu za
gesi hivyo kupelekea huduma za kijamii kusimama.
Mmoja
wa wananchi walioathiriwa na mgomo huo, Hilal John aliyekuwa safarini
kuelekea Newala lakini alikosa usafiri kutokana na kumbukumbu hiyo
alisema hatua hiyo imeathiri...
Thursday, May 21, 2015
Tuesday, May 19, 2015
Friday, May 15, 2015
Thursday, May 14, 2015



KATIKA hali isiyokuwa ya kawaida, wanafunzi wa shule za msingi za
Mwangaza na Ngarenaro, juzi walidaiwa kupata kipigo kutoka kwa vijana
waliojiita ‘Makamanda’ wa umoja wa vyama vya siasa vya upinzani
ujulikanao kama Ukawa, baada ya baadhi yao kufika katika mkutano huo
uliofanyika viwanja vya karibu na shule yao.
Baadhi ya viongozi wakuu wa umoja huo, akiwemo mwanasheria...
Tuesday, May 12, 2015
Wednesday, May 6, 2015


Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Ban Ki moon amelaani vikali shambulizi
la waasi mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, ambalo limeuwa
wanajeshi wawili wa umoja huo ambao wanatoka Tanzania.
Wanajeshi wa Umoja wa Mataifa wakifanya doria Mashariki mwa Kongo
Shambulizi hilo lilifanywa Jumanne jioni katika kijiji cha Kisiki,
umbali wa km 38 Kaskazini mwa mji wa Beni. Mbali na wanajeshi...
Sunday, May 3, 2015



Tarehe May 3, 2015
Bomu lajeruhi watu watano mkoani Morogoro.
Vijana wawili wanatafutwa na jeshi la Polisi mkoani Morogoro kwa
kumrushia bomu dereva wa gari la mwenyekiti wa Halmashauri ya wilaya ya
Kilombero, David Ligazio ,Novatus Ngope (47), pamoja na kujeruhi watu
wengine wanne walipokuwa kwenye sherehe za Siku ya Wafanyakazi...



Tarehe May 2, 2015
Mwanamuziki Naseeb Abdul, na mrembo Zari wakiingia ukumbini
Wanamuziki Nay wa Mitego na Shetta wakiwa katika pozi
Mwanamuziki Diamond akifanya majonjo kwa mama kijacho wake Zari
Baadhi ya warembo waliotoa huduma katika hafla hiyo
Baadhi ya warembo waliotoa huduma katika hafla hiy...



Tarehe May 2, 2015
Mwanamuziki Peter Okoye katika pozi
Wanamuziki nchini Nigeria, Peter na Paul Okoye, wamekuwa
wakikwaruzana mara kwa mara kiasi cha kuwashangaza watu kuwa iwaje ndugu
wa damu wanakosana wakati wanafanya kazi kama timu.
Hatua hiyo imepelekea Peter, kuweka wazi kuwa, kugombana kwao
kusichukuliwe kama kitu...



Tarehe May 3, 2015
Msanii wa filamu nchini Tanzania, Weru Sengo katika pozi
Wasanii Steve Nyerere na Weru Sengo, katika pozi
Msanii wa filamu nchini Tanzania, Weru Sengo anadaiwa kuwa na
uhusiano wa kimapenzi na msanii mwenzake Steve Nyerere, ambapo wamekuwa
wakionekana sehemu mbalimbali wakila bata.
Inadaiwa kuwa badala ya kutoka...



Rio Ferdinand akiwa na mkwewake Rebecca Ellison enzi za uhai wake
Rebecca Ellison ambaye alikuwa ni mke wa mlinzi wa zamani wa klabu ya
Manchester United na timu ya taifa ya Uingereza Rio Ferdinand amefariki
dunia baada ya kusumbuliwa na maradhi ya kansa kwa muda mfupi.
Rebecca alizaa watoto watatu na Ferdinand, watoto wao wanafahamika...



Tarehe May 1, 2015
Pacquiao (kushoto) akiwa na Mayweather na rekodi zaokwa pamoja
Kuelekea pambano la ndondi la kukata na shoka kati ya Floyd
Mayweather Jr dhidi ya Manny Pacquiao ‘Pac Man’ kuna orodha ya mabondia
watano ambao kwa nyakati tofauti wamewahi kupambana na Mayweather na
Pacquiao.
Na hivi ndivyo namna ambavyo kila mmoja aliwashinda wapinzani hao.
OSCAR...
Saturday, May 2, 2015



KWANZA
KABISA WANAANZA TOA JENEZA LA ALIEKUFA KWA UGONJWA NA KUZANIWA AMEROGWA
NA ALIYEZIKWA AKIWA HAI MAANA KATIKA KABURI HILO WALIZIWA WATU WAWILI
KATIKA KABURI MOJA ALIE HAI NA MFU
JENEZA LA ALIEKUFA KWA UGONJWA TAYARI LIMETOLEWA HILO PEMBENI SASA ANAFUKULIWAALIEZIKWA HAI
MWILI WA ALIEZIKWA AKIWA HAI SASA UNATOLEWA KABURI...
Subscribe to:
Posts (Atom)