Monday, December 28, 2015

Makamu wa rais wa Tanzania Bi Samia Suluhu Hassan alihudhuria mkutano huo Chama cha Mapinduzi kimewataka wanachama wake visiwani Zanzibar kujiandaa kwa marudio ya uchaguzi. Tamko hilo limetolewa huku mazungumzo hakiendelea kutafuta suluhu ya mzozo kuhusu matokeo ya uchaguzi wa Oktoba 25 ambayo yalifutiliwa mbali. Wito wa wafuasi kujiandaa...

Saturday, December 12, 2015

Watu zaidi ya 200 wameuawa Burundi tangu kuanza kwa machafuko Aprili Miili zaidi ya 34 imepatikana katika barabara za mji mkuu wa Burundi huku machafuko yakiendelea. Mwandishi wa BBC ameona maiti 21 katika mtaa mmoja wa Bujumbura na maafisa wa serikali wamesema kuna miili mingine 13. Maiti nyingi zinaonekana kuwa za vijana waliouawa kwa kupigwa risasi, baadhi wakiwa wamefungwa mikono yao ikiwa...
Hannibal amekuwa kwenye kizuizi cha nyumbani Oman tangu 2012 Mwana wa kiume wa aliyekuwa kiongozi wa Libya Muammar Gaddafi, Hannibal, ameachiliwa huru baada ya kutekwa nyara kwa muda na kundi la wapiganaji, duru za kiusalama zinasema. Kwenye video iliyoonyeshwa kwenye runinga ya Lebanon, mfanyabiashara huyo alionekana akiitisha habari zaidi...

Friday, December 11, 2015

Tanzania na Nigeria ndizo nchi pekee zenye maabara ya aina hiyo Afrika kusini mwa jangwa la Sahara Tanzania ni moja kati ya nchi zilizofanikiwa duniani kuratibu maabara inayohamishika kwa ajili ya mapambano dhidi ya Ebola na magonjwa mengineyo ya mlipuko. Maabara hii inaweza kusafirishwa mpaka kwenye maeneo yaliyoathirika, ikiwa ndani...

Tuesday, December 8, 2015

Samuel L Jackson ni mmoja wa Wamarekani weusi waliofanikiwa sana Hollywood Nyota wa Hollywood Samuel L Jackson atahamia Afrika Kusini iwapo Donald Trump atashinda uchaguzi wa urais Marekani, tovuti ya News 24 imeripoti. Trump, mmoja wa wanaowania tiketi ya kugombea urais Marekani kupitia chama cha Republican, ameshutumiwa vikali baada ya kupendekeza...

Wednesday, December 2, 2015

  Polisi wenye silaha wakipiga doria katika eneo palipotokea mauaji hayo. Polisi nchini Marekani imesema takriban watu 14 wameuawa na wengine 14 kujeruhiwa baada ya kupigwa risasi na watu wenye silaha katika mji wa San Bernadino mashariki mwa Los Angeles. Polisi mjini humo inasema tukio hilo imetokea kwenye kituo cha huduma kwa watu wenye ulemavu na inawezekana...

Saturday, November 28, 2015

Rais wa Uturuki Rcep Tayyip Erdogan ameonyesha kujuta kwamba Uturuki iliidungua ndege ya kijeshi ya Urusi karibu na mpaka wa taifa hilo na Syria,lakini hakuomba msamaha kwa tukio hilo. Aliuambia mkutano wa hadhara huko Balikesir kwamba alitamani kwamba tukio hilo halingetokea na kwamba halitarudiwa tena. Rais wa Urusi Vladmir Putin amekataa kulijadili swala hilo na Erdogan hadi atakapoomba msamaha. Moscow...

Saturday, October 31, 2015

FULL-TIME: #LFC defeat Chelsea Football Club 3-1 at Stamford Bridge thanks to a Philippe Coutinho brace and a goal from substitute Christian Benteke. ...
Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Wabunge ambao wataingia Bungeni baada ya uchaguzi Mkuu uliofanyika nchini kote Oktoba 25, 2015 ni kama ifuatavyo.  Idadi kubwa ya wabunge hao ni kutoka chama tawala cha CCM, ikifuatiwa na Chadema na CUF na vyama vingine kama NCCR-Mageuzi na ACT-Wazalendo. WABUNGE WALIOSHINDA KUPITIA CCM Jimbo la Busega (Raphael Chegeni), Nyamagana (Stanslaus Mabula),...
 Blog ya mzalendo mweusi wanakuletea matokeo ya darasa la saba mwaka 2015 Bofya hapa kuangalia matokeo ya darasa la saba Waweza pia kuchagua mkoa unaotaka kwa kubofya kwenye mkoa husika ARUSHA DAR ES SALAAM DODOMA IRINGA KAGERA KIGOMA KILIMANJARO LINDI MARA MBEYA MOROGORO MTWARA MWANZA PWANI RUKWA RUVUMA SHINYANGA SINGIDA TABORA TANGA MANYARA GEITA KATAVI NJOMBE SIMIYU ...

Friday, October 30, 2015

 Msafara wa Bw Magufuli umelindwa vikali na maafisa wa usalama 11:30am: Msafara wa Rais mteule John Magufuli pamoja na ule wa Rais Jakaya Kikwete waelekea ikulu chini ya ulinzi mkali. ...

Friday, October 23, 2015

  Visa vya albino kushambuliwa na kukatwa viungo huongezeka sana wakati wa uchaguzi Mwanamume mwenye ulemavu wa ngozi anauguza majeraha baada ya kushambuliwa na watu wasiojulikana eneo la Mkuranga, Tanzania. Shambulio hilo dhidi ya albino huyo limetokea siku chache tu kabla ya uchaguzi mkuu kufanyika. Kumekuwepo na wasiwasi kwamba huenda watu wenye ulemavu wakashambuliwa zaidi...

Saturday, October 17, 2015

 Aliyekuwa Mbunge wa Ludewa, Deo Filikunjombe enzi za Uhai wake.  Msaidizi wa Mbunge huyo, Casablanga Haule enzi za Uhai wake.  Padri Plasdus Ngabuma enzi za Uhai wake.  Waombolezaji wakiwa wamebeba jeneza lenye mwili wa aliyekuwa Mbunge wa Ludewa, Deogratias Filikunjombe wakati wa ibada ya kuuaga iliyofanyika nyumbani kwake Kijichi Dar es Salaam...
Mke wa marehemu Deogratias Filikunjombe, Sarah Filikunjombe (kushoto) akilia kwa uchungu baada ya kupata tarifa za kifo cha mumewe.Ndugu, jamaa na marafiki wakionekana wenye huzuni nyumbani kwa Deogratias Filikunjombe.Nyumbani kwa Deogratias Filikunjombe Mbagala Kijichi, Dar es Salaam.Capt. William Silaa enzi za uhai wake.Filikunjombe akiwaaga wananchi wake.Mbunge wa Ludewa...

Thursday, October 8, 2015

Kundi la wafungwa kutoka New York limeshinda mdahalo dhidi ya kundi kutoka Chuo Kikuu cha Harvard, chuo kilichoorodheshwa bora zaidi duniani. Wafungwa hao kutoka Eastern New York Correctional Facility walikuwa wamewaalika wanafunzi hao kutoka Harvard kwa shindano la mjadala gerezani. Kwenye mdahalo huo, wafungwa walitetea msimamo kwamba watoto wa wazazi walioingia Marekani kinyume cha sheria...
Mchoraji wa miundo ya magari nchini India Sudhakr Yadav amejaribu kuweka rekodi ya pili ya Guiness kwa kutengeneza gari analotumai litakuwa ndilo kubwa zaidi duniani. Gari hilo, ambalo limeundwa likifanana na gari aina ya Ford Toure lililoundwa mwaka 1922, lina urefu wa futi 26 (mita 8) kwenda juu na ukubwa wa futi 50 lina ukubwa maradufu wa basi lililo na ghorofa mbili mjini Londo...

Sunday, October 4, 2015

Mwanasiasa mkongwe na Mwenyekiti wa chama cha kisiasa cha  DP Christopher Mtikilaamefariki dunia alfajiri ya leo wakati akitokea Morogoro kuelekea Dar es salaa...

Tuesday, September 29, 2015

Haijabainika ni nani anayeteketeza makanisa hayo Makanisa manne yameteketezwa katika mkoa wa Kagera, kaskazini magharibi mwa Tanzania na kufikisha saba, idadi ya makanisa yaliyochomwa moto eneo hilo mwezi huu. Hadi sasa haijabainika ni kundi gani linalohusika na vitendo hivyo, kwa mujibu wa polisi. Lakini baadhi ya viongozi wa dini wameambia mwandishi wa BBC Leonard Mubali kuwa huenda ni matokeo...

Sunday, September 27, 2015

Naibu spika wa bunge Job Dungai, yeye ndiye kashikilia rungu, Ripoti " ijadiliwe au la"Mbunge wa Kigoma Kaskazini (CHADEMA), Ambaye pia ni mwenyekiti wa kamati ya bunge ya hesabu za serikali, (PAC), Zitto Kabwe. Taarifa ya CAG kuhusu akaunti nya Tegeta Escrow, iko mikononi mwa...

Saturday, September 26, 2015

   Mpagi Edward Edmary Mnamo mwaka 1982 Mpagi Edward Edmary ,dereva wa texi nchini Uganda alipewa hukumu ya kifo kwa mauaji ya kinyama ya jirani yake. Licha ya Edward kuwa mtu asiye na hatia hakuhukumiwa na mauaji yoyote. Edward alisingiziwa katika mgogoro wa shamba wa famili...

Saturday, September 19, 2015

  Rais Barack Obama amemteua Eric Fanning kuwa katibu mpya katika jeshi la Marekani.  Rais wa Marekani Barack Obama amemteua Eric Fanning kuwa katibu mpya katika jeshi la Marekan...

Friday, September 11, 2015

hii ndio shule ya Sekondari Masimbwe aiko wilayani Ludewa kata mpya ya Lubonde  Mkuu wa shule ya Masimbwe Mwalimu Eliud Sa...

Tuesday, September 8, 2015

Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano wa Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa Nchini, Monica Laurent (kushoto), akizungumza na wanahabari wakati akimkaribisha msemaji wa mkutano huo kuzungumza na waandishi. Msajili Msaidizi wa Vyama vya Siasa nchini, Sisty Nyahoza (kushoto), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam leo asubuhi, kuhusu vyama vya siasa vyenye usajili wa...

Wednesday, September 2, 2015

  Mwanamke mmoja aliyekuwa akitumia choo cha muda, alibebwa na kupelekwa sehemu nyingine wakati choo hicho kilipoinuliwa juu na tracta kimakosa na kuhamishwa hadi eneo lingine. Mwanamke huyo alikuwa ameenda kutumia choo hicho kabla ya ufunguzi wa tamasha la Newlyn Fish Festival, Cornwall nchini Uingere...

Saturday, August 29, 2015

 Mgombea wa Urais kwa kupitia Chama Cha Mapinduzi Dk. John Pombe Magufuli akihutubia wakazi wa  kijiji cha Kikondo kata ya Ilungu Mbeya vijijini akiwa njiani kuelekea mkoa wa Njombe...

Friday, August 28, 2015

  Wanajeshi wa waasi CAR Shirika la Umoja wa Mataifa linalohusika na masuala ya watoto UNICEF, limesema kuwa makundi yaliyojihami nchini Jamuhuri ya Afrika ya Kati, yamewaachilia watoto mia moja sitini na watatu. Watoto hao waliachiliwa mjini Batangafo, baada ya majadiliano kati ya shirika hilo na makundi hayo ya waasi mwezi Mei mwaka...
  Treni Afisa mmoja wa serikali ya Poland, amesema kuwa ana imani kuwa treni moja ya kijeshi ambayo imefichwa tangu vita vya pili vya dunia, zaidi ya miaka sababini iliyopita, na kusemekana kubeba vitu vya...
Mtu yeyote anapoingia katika maisha huwa anakabiliwa na changamoto ya kuamua kati ya kujiajiri au kuajiriwa. Kuajiriwa kunakuhakikishia usalama kazini japokuwa usalama huo siku hizi ni nadra sana kuwepo, wakati kujiajiri hukuhakimkishia uhuru wa kuamua mambo yako. Watu wengi huamua kuchagua kuajiriwa kwa sababu ni rahisi kuliko kuwa wajasiriamali ambako ni kugumu, tatizo wanalolipata...

Thursday, August 27, 2015

Junaid Hussain Marekani imesema mpiganaji wa Kiingereza, ambaye alijiunga na kundi la Islamic State ameuawa katika shambulio la anga nchini Syria. Junaid Hussain ambaye alikuwa akiendesha kampeni za kundi hilo la Islamic State kupitia mitandao ya kijamii na kufanya kazi kubwa kuwavuta na kuwaingiza katika kundi hilo, raia wa kigen...

Wednesday, August 26, 2015

Akihutubia mamia ya watu waliojaa leo huko sumbawanga ...

Tuesday, August 18, 2015

Mfanyabiashara tajiri kijana Mohamed Dewji Mfanyabiashara maarufu nchini na Mbunge wa Singida Mjini (CCM), Mohammed Dewji (pichani) kwa mara ya kwanza ameingia kwenye orodha ya mabilionea 29, akiwa tajiri kijana kuliko wote barani Afrika. Jarida la Forbes la Marekani limemtaja Dewji (39), katika nafasi ya 24 ya matajiri wa Afrika akiwa na utajiri wa Dola...
  Shambulizi la Thailand lalaaniwa Waziri mkuu wa Thailand ametaja shambulizi la bomu ambalo limewauwa zaidi ya watu ishirini mjini Bangkok hapo jana jumatatu kuwa kisa kibaya zaidi kuwahi kutokea nchini hum...

Thursday, August 6, 2015

Imesubiriwa kwa shauku iliyoje, mengi yamesemwa lakini imefikia hatua ya mitandao mingi kufanya tukio hili kuwa habari iliyofika kwenye madawati yao hivi punde. Kwa post hii ya Diamond kwenye ukurasa wake wa Twitter na Instagram dakika chache zilizopita ni dhahiri kuwa familia ya Wasafi imepata ongezeko la mtoto wa ki...

Wednesday, August 5, 2015

  Je unamfahamu Edward Lowassa ni nani katika siasa za Tanzania ? Umoja usio rasmi wa vyama vinne vya upinzani nchini Tanzania unajulikana kwa jina la Katiba ya Wananchi (UKAWA), baada ya kusubiri kwa muda hatimaye umemtangaza Waziri Mkuu wa zamani Edward Lowassa kuwa mgombea wake wa urais. Lowassa anagombea kupitia Chama Cha Demokrasia na Maendeleo ...

Tuesday, August 4, 2015

  Kuna sauti ambayo imerekodiwa na kinachosikika ni sauti ya mwanamke na mwanaume wakijibizana, waliotajwa kwamba ndio wanaosikika kwenye sauti hiyo ni Nuh Mziwanda na Wema Sepetu, imemfikia Soudy Brown tayari !! Soudy Brown anasema sauti hiyo ilirekodiwa usiku mmoja kabla ya Tuzo za KTMA, na baada ya ishu kuwafikia wote wawili yani Nuh na mpenzi wake Shilole haijulikani nini kinaendelea...

Monday, July 27, 2015

  Bobbi Kristina afariki Dunia Bobbi Kristina Brown ,mtoto wa marehemu Whitney Houston ambaye alikuwa gwiji wa muziki wa R&B ,amefariki dunia baada ya kupoteza fahamu kwa muda wa miezi sita tangu alipokutwa taabani kwenye bafu lake na pindi alipofikishwa hospitalini na kukutwa na matatizo kwenye ubongo. Bobbi amekufa akiwa na umri wa miaka 22,huku...