Makamu wa rais wa Tanzania Bi Samia Suluhu Hassan alihudhuria mkutano huo
Chama cha Mapinduzi kimewataka wanachama wake visiwani Zanzibar kujiandaa kwa marudio ya uchaguzi.
Tamko
hilo limetolewa huku mazungumzo hakiendelea kutafuta suluhu ya mzozo
kuhusu matokeo ya uchaguzi wa Oktoba 25 ambayo yalifutiliwa mbali.
Wito
wa wafuasi kujiandaa...
Monday, December 28, 2015
Saturday, December 12, 2015


Watu zaidi ya 200 wameuawa Burundi tangu kuanza kwa machafuko Aprili
Miili zaidi ya 34 imepatikana katika barabara za mji mkuu wa Burundi huku machafuko yakiendelea.
Mwandishi wa BBC ameona maiti 21 katika mtaa mmoja wa Bujumbura na maafisa wa serikali wamesema kuna miili mingine 13.
Maiti nyingi zinaonekana kuwa za vijana waliouawa kwa kupigwa risasi, baadhi wakiwa wamefungwa mikono yao ikiwa...


Hannibal amekuwa kwenye kizuizi cha nyumbani Oman tangu 2012
Mwana wa kiume wa
aliyekuwa kiongozi wa Libya Muammar Gaddafi, Hannibal, ameachiliwa huru
baada ya kutekwa nyara kwa muda na kundi la wapiganaji, duru za
kiusalama zinasema.
Kwenye video iliyoonyeshwa kwenye runinga ya
Lebanon, mfanyabiashara huyo alionekana akiitisha habari zaidi...
Friday, December 11, 2015


Tanzania na Nigeria ndizo nchi pekee zenye maabara ya aina hiyo Afrika kusini mwa jangwa la Sahara
Tanzania ni moja
kati ya nchi zilizofanikiwa duniani kuratibu maabara inayohamishika kwa
ajili ya mapambano dhidi ya Ebola na magonjwa mengineyo ya mlipuko.
Maabara
hii inaweza kusafirishwa mpaka kwenye maeneo yaliyoathirika, ikiwa
ndani...
Tuesday, December 8, 2015


Samuel L Jackson ni mmoja wa Wamarekani weusi waliofanikiwa sana Hollywood
Nyota wa Hollywood
Samuel L Jackson atahamia Afrika Kusini iwapo Donald Trump atashinda
uchaguzi wa urais Marekani, tovuti ya News 24 imeripoti.
Trump,
mmoja wa wanaowania tiketi ya kugombea urais Marekani kupitia chama cha
Republican, ameshutumiwa vikali baada ya kupendekeza...
Wednesday, December 2, 2015


Polisi wenye silaha wakipiga doria katika eneo palipotokea mauaji hayo.
Polisi nchini Marekani imesema
takriban watu 14 wameuawa na wengine 14 kujeruhiwa baada ya kupigwa
risasi na watu wenye silaha katika mji wa San Bernadino mashariki mwa
Los Angeles.
Polisi mjini humo inasema tukio hilo imetokea kwenye kituo cha
huduma kwa watu wenye ulemavu na inawezekana...
Saturday, November 28, 2015


Rais wa Uturuki Rcep Tayyip Erdogan ameonyesha kujuta kwamba Uturuki iliidungua ndege ya kijeshi ya Urusi karibu na mpaka wa taifa hilo na Syria,lakini hakuomba msamaha kwa tukio hilo.
Aliuambia mkutano wa hadhara huko Balikesir kwamba alitamani kwamba tukio hilo halingetokea na kwamba halitarudiwa tena.
Rais wa Urusi Vladmir Putin amekataa kulijadili swala hilo na Erdogan hadi atakapoomba msamaha.
Moscow...
Saturday, October 31, 2015


Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Wabunge ambao wataingia Bungeni baada ya uchaguzi Mkuu uliofanyika nchini kote Oktoba 25, 2015 ni kama ifuatavyo.
Idadi kubwa ya wabunge hao ni kutoka chama tawala cha CCM, ikifuatiwa na
Chadema na CUF na vyama vingine kama NCCR-Mageuzi na ACT-Wazalendo.
WABUNGE WALIOSHINDA KUPITIA CCM
Jimbo la Busega (Raphael Chegeni), Nyamagana (Stanslaus Mabula),...


Blog ya mzalendo mweusi wanakuletea matokeo ya darasa la saba mwaka 2015
Bofya hapa kuangalia matokeo ya darasa la saba
Waweza pia kuchagua mkoa unaotaka kwa kubofya kwenye mkoa husika
ARUSHA
DAR ES SALAAM
DODOMA
IRINGA
KAGERA
KIGOMA
KILIMANJARO
LINDI
MARA
MBEYA
MOROGORO
MTWARA
MWANZA
PWANI
RUKWA
RUVUMA
SHINYANGA
SINGIDA
TABORA
TANGA
MANYARA
GEITA
KATAVI
NJOMBE
SIMIYU
...
Friday, October 30, 2015
Friday, October 23, 2015


Visa vya albino kushambuliwa na kukatwa viungo huongezeka sana wakati wa uchaguzi
Mwanamume mwenye ulemavu wa ngozi anauguza majeraha baada ya kushambuliwa na watu wasiojulikana eneo la Mkuranga, Tanzania.
Shambulio hilo dhidi ya albino huyo limetokea siku chache tu kabla ya uchaguzi mkuu kufanyika.
Kumekuwepo
na wasiwasi kwamba huenda watu wenye ulemavu wakashambuliwa zaidi...
Saturday, October 17, 2015


Aliyekuwa Mbunge wa Ludewa, Deo Filikunjombe enzi za Uhai wake.
Msaidizi wa Mbunge huyo, Casablanga Haule enzi za Uhai wake.
Padri Plasdus Ngabuma enzi za Uhai wake.
Waombolezaji
wakiwa wamebeba jeneza lenye mwili wa aliyekuwa Mbunge wa Ludewa,
Deogratias Filikunjombe wakati wa ibada ya kuuaga iliyofanyika nyumbani
kwake Kijichi Dar es Salaam...



Mke
wa marehemu Deogratias Filikunjombe, Sarah Filikunjombe (kushoto)
akilia kwa uchungu baada ya kupata tarifa za kifo cha mumewe.Ndugu, jamaa na marafiki wakionekana wenye huzuni nyumbani kwa Deogratias Filikunjombe.Nyumbani kwa Deogratias Filikunjombe Mbagala Kijichi, Dar es Salaam.Capt. William Silaa enzi za uhai wake.Filikunjombe akiwaaga wananchi wake.Mbunge
wa Ludewa...
Thursday, October 8, 2015


Kundi la wafungwa kutoka New York
limeshinda mdahalo dhidi ya kundi kutoka Chuo Kikuu cha Harvard, chuo
kilichoorodheshwa bora zaidi duniani.
Wafungwa hao kutoka Eastern
New York Correctional Facility walikuwa wamewaalika wanafunzi hao kutoka
Harvard kwa shindano la mjadala gerezani.
Kwenye mdahalo huo,
wafungwa walitetea msimamo kwamba watoto wa wazazi walioingia Marekani
kinyume cha sheria...


Mchoraji wa miundo ya magari nchini
India Sudhakr Yadav amejaribu kuweka rekodi ya pili ya Guiness kwa
kutengeneza gari analotumai litakuwa ndilo kubwa zaidi duniani.
Gari
hilo, ambalo limeundwa likifanana na gari aina ya Ford Toure
lililoundwa mwaka 1922, lina urefu wa futi 26 (mita 8) kwenda juu na
ukubwa wa futi 50 lina ukubwa maradufu wa basi lililo na ghorofa mbili
mjini Londo...
Sunday, October 4, 2015
Tuesday, September 29, 2015


Haijabainika ni nani anayeteketeza makanisa hayo
Makanisa manne yameteketezwa katika mkoa wa Kagera, kaskazini magharibi mwa Tanzania na kufikisha saba, idadi ya makanisa yaliyochomwa moto eneo hilo mwezi huu.
Hadi sasa haijabainika ni kundi gani linalohusika na vitendo hivyo, kwa mujibu wa polisi.
Lakini baadhi ya viongozi wa dini wameambia mwandishi wa BBC Leonard Mubali kuwa huenda ni matokeo...
Sunday, September 27, 2015
Saturday, September 26, 2015
Saturday, September 19, 2015
Friday, September 11, 2015
Tuesday, September 8, 2015


Mkuu
wa Kitengo cha Mawasiliano wa Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa
Nchini, Monica Laurent (kushoto), akizungumza na wanahabari wakati
akimkaribisha msemaji wa mkutano huo kuzungumza na waandishi.
Msajili
Msaidizi wa Vyama vya Siasa nchini, Sisty Nyahoza (kushoto),
akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam leo
asubuhi, kuhusu vyama vya siasa vyenye usajili wa...
Wednesday, September 2, 2015



Mwanamke mmoja
aliyekuwa akitumia choo cha muda, alibebwa na kupelekwa sehemu nyingine
wakati choo hicho kilipoinuliwa juu na tracta kimakosa na kuhamishwa
hadi eneo lingine.
Mwanamke huyo
alikuwa ameenda kutumia choo hicho kabla ya ufunguzi wa tamasha la
Newlyn Fish Festival, Cornwall nchini Uingere...
Saturday, August 29, 2015
Friday, August 28, 2015


Wanajeshi wa waasi CAR
Shirika la Umoja
wa Mataifa linalohusika na masuala ya watoto UNICEF, limesema kuwa
makundi yaliyojihami nchini Jamuhuri ya Afrika ya Kati, yamewaachilia
watoto mia moja sitini na watatu.
Watoto hao waliachiliwa mjini
Batangafo, baada ya majadiliano kati ya shirika hilo na makundi hayo ya
waasi mwezi Mei mwaka...



Mtu yeyote anapoingia katika maisha huwa anakabiliwa na changamoto
ya kuamua kati ya kujiajiri au kuajiriwa. Kuajiriwa kunakuhakikishia
usalama kazini japokuwa usalama huo siku hizi ni nadra sana kuwepo,
wakati kujiajiri hukuhakimkishia uhuru wa kuamua mambo yako. Watu wengi
huamua kuchagua kuajiriwa kwa sababu ni rahisi kuliko kuwa wajasiriamali
ambako ni kugumu, tatizo wanalolipata...
Thursday, August 27, 2015


Junaid Hussain
Marekani imesema mpiganaji wa Kiingereza, ambaye alijiunga na kundi la Islamic State ameuawa katika shambulio la anga nchini Syria.
Junaid Hussain ambaye alikuwa akiendesha kampeni za kundi hilo la Islamic State kupitia mitandao ya kijamii na kufanya kazi kubwa kuwavuta na kuwaingiza katika kundi hilo, raia wa kigen...
Tuesday, August 18, 2015


Mfanyabiashara tajiri kijana Mohamed Dewji
Mfanyabiashara
maarufu nchini na Mbunge wa Singida Mjini (CCM), Mohammed Dewji
(pichani) kwa mara ya kwanza ameingia kwenye orodha ya mabilionea 29,
akiwa tajiri kijana kuliko wote barani Afrika.
Jarida la Forbes la
Marekani limemtaja Dewji (39), katika nafasi ya 24 ya matajiri wa
Afrika akiwa na utajiri wa Dola...
Thursday, August 6, 2015


Imesubiriwa
kwa shauku iliyoje, mengi yamesemwa lakini imefikia hatua ya mitandao
mingi kufanya tukio hili kuwa habari iliyofika kwenye madawati yao hivi
punde.
Kwa
post hii ya Diamond kwenye ukurasa wake wa Twitter na Instagram dakika
chache zilizopita ni dhahiri kuwa familia ya Wasafi imepata ongezeko la
mtoto wa ki...
Wednesday, August 5, 2015


Je unamfahamu Edward Lowassa ni nani katika siasa za Tanzania ?
Umoja
usio rasmi wa vyama vinne vya upinzani nchini Tanzania unajulikana kwa
jina la Katiba ya Wananchi (UKAWA), baada ya kusubiri kwa muda hatimaye
umemtangaza Waziri Mkuu wa zamani Edward Lowassa kuwa mgombea wake wa
urais.
Lowassa anagombea kupitia Chama Cha Demokrasia na Maendeleo
...
Tuesday, August 4, 2015


Kuna sauti ambayo imerekodiwa na
kinachosikika ni sauti ya mwanamke na mwanaume wakijibizana, waliotajwa
kwamba ndio wanaosikika kwenye sauti hiyo ni Nuh Mziwanda na Wema Sepetu, imemfikia Soudy Brown tayari !!
Soudy Brown anasema sauti hiyo ilirekodiwa usiku mmoja kabla ya Tuzo za KTMA, na baada ya ishu kuwafikia wote wawili yani Nuh na mpenzi wake Shilole haijulikani nini kinaendelea...
Monday, July 27, 2015


Bobbi Kristina afariki Dunia
Bobbi
Kristina Brown ,mtoto wa marehemu Whitney Houston ambaye alikuwa gwiji
wa muziki wa R&B ,amefariki dunia baada ya kupoteza fahamu kwa muda
wa miezi sita tangu alipokutwa taabani kwenye bafu lake na pindi
alipofikishwa hospitalini na kukutwa na matatizo kwenye ubongo.
Bobbi amekufa akiwa na umri wa miaka 22,huku...
Subscribe to:
Posts (Atom)