Uchumi mbaya wazua wasiwasi Ugiriki
Mawaziri
wa fedha wa mataifa ya ulaya wamekatalia mbali ombi la Ugiriki la
kutaka iongezewa muda zaidi wa kulipa deni lake kutoka Jumanne ijayo.
Ugiriki ina hadi Jumanne ijayo kulipa deni lake la zaidi ya dola bilioni moja nukta saba.
Serikali ya Uigiriki chini ya Alexis Tsipras ilikuwa imeombamuda wa majuma mawili iliiandae...
Saturday, June 27, 2015
Friday, June 26, 2015


Takriban watu 30 wamepoteza maisha yao
baada ya shambulizi la kigaidi katika kituo cha kijeshi cha wanajeshi
wa kimatifa wa kulinda amani nchini Somalia Amisom.
Takriban watu 30 wamepoteza maisha
yao baada ya shambulizi la kigaidi katika kituo cha kijeshi cha
wanajeshi wa kimatifa wa kulinda amani nchini Somalia Amiso...
Thursday, June 25, 2015


Makamu wa rais Burundi anaaminika kuwa ametorokea Ubeljiji
Moja kati ya makamu wa rais wa Burundi ametoroka nchini humo baada ya
kutangaza kuwa anapinga hatua ya rais wa nchi hiyo Pierre Nkurunziza
kuwania muhula wa tatu.
Makamu wa pili wa Rais wa Burundi Gervais
Rufikiri amekimbia baada ya kuiambia runinga ya France24 kuwa muhula
huo wa tatu unakiuka...


Kiongozi wa ujasusi wa Rwanda anatarajiwa kufika mahakamani hivi leo
Kiongozi wa ujasusi wa Rwanda ameachiliwa kwa dhamana.
Luteni jenerali Karenzi Karake ametakiwa kufika kwenye kituo cha polisi kila siku.
Luteni jenerali Karenzi Karake alikamatwa siku ya jumamosi katika
uwanja wa ndege wa Heathrow Jumamosi iliyopita chini ya kibali cha
kukamatwa cha...
Tuesday, June 23, 2015


James Horner
James
Horner, mtunzi nguli wa eneo maarufu kwa watu maarufu la Hollywood
ambaye aliandika na kushinda katika tuzo za Oscar juu ya filamu maarufu
ulimwenguni ya Titanic,amefariki dunia mjini California kutokana na
ajali ya ndege akiwa na umri wa miaka 61.
James alipata mafunzo ya
urushaji wa ndege,inaarifiwa alikuwa peke yake wakati alipopata...


Bango lenye elimu kwa umma Sierra Leone
Maofisa
wa afya nchini Sierra Leone wamesema kwamba kuna wagonjwa wawili wapya
wanaougua ugonjwa wa ebola na kwamba wamegunduliwa katika mji mkuu wa
nchi hiyo Freetown.
Hapo awali ilidhaniwa kwamba mji huo ulikuwa
hauna maambukizi ya ugonjwa huo,na hakukuwa na wagonjwa walioripotiwa
hapo kabla kwa muda wa wiki kadhaa.
Naye...


Puff Dadddy
Mwanamuziki mashuhuri wa nyimbo za Hip hop P Diddy amekamatwa kwa kushukiwa kumshambulia mtu kwa silaha mjini Los Angeles.
Kisa
hicho kinadaiwa kufanyika katika chuo kikuu cha California Jumatatu
alasiri, mahala ambapo mwanawe wa kiume ni mmojawapo ya wachezaji katika
timu ya soka ya Marekani.
Hayo ni kwa mjibu wa maafisa wa polisi.
Silaha
...


Joto kali
Waziri mkuu nchini Pakistan Nawaz
Sharrif ametaka hatua za dharura kuchukuliwa huku idadi ya watu
waliofariki kutokana na wimbi la joto katika mkoa wa kusini wa Sindh
ikifikia 700.
Mamlaka ya kukabiliana na majanga ya dharura NDMA
imesema kuwa imepokea maagizo kutoka kwa
Nawaz Sharrif kuchukua hatua za
dharura.
Joto kali
Jeshi tayari limepelekwa katika...
Sunday, June 21, 2015


Polisi
Askari
polisi mmoja wa Israel, ameumia vibaya aliposhambuliwa kwa kisu katika
eneo la mashariki mwa Jerusalem, ambalo linakaliwa na Israel.
Polisi wa Israel wanasema, walimpiga risasi na kumjeruhi kijana mdogo wa Kipalestina, aliyefanya shambulio.
Jambo hilo limetokea nje ya lango la asili, la Damascus Gate, la kuingilia mji wa kale.
Siku
mbili...


Mapigano makali yaendelea Mogadishu
Mapigano makubwa yameripotiwa kwenye
mji kuu wa Somalia Mogadishu baada ya shambulizi la gari la kujitoa
mhanga kutokea karibu na makao makuu ya idara ya ujasusi ya nchi hiyo.
Maafisa
nchini Somalia wanasema kuwa wapiganaji kutoka kundi la al-Shabab
waliingia jengo lililo karibu na makao hayo makuu ya ujasusi, na kukana
madai ya al-Shabab kuwa...
Saturday, June 20, 2015
Friday, June 19, 2015
Thursday, June 18, 2015
Wednesday, June 17, 2015


Mwezi mtukufu wa Ramadhan unapoanza,
hospitali nchini Uingereza zinawasihi Waislamu kuchangia viungo vyao
kwa wagonjwa ambao wanahitaji figo au maini.
Kuna zaidi ya
Waislamu milioni 2.7 nchini Uingereza, na wale ambao wanahitaji figo au
maini hulazimika kugonja kwa muda mrefu zaidi kuliko wale ambao si
waislam...


Mamlaka ya Chad imepiga marufuku
vazi la Burqa kufuatia visa vya walipuaji wa kujitolea muhanga siku ya
jumatatu ambavyo vimewaua watu 23.
Waziri mkuu Kalzeube Pahimi Deubet, alitangaza baada ya kuonana na viongozi wa kidini.
Amelaumu
kundi la Boko Haram kwa kutekeleza mashambulizi huku kundi hilo
likiendelea kuwatumia wanawake kama walipuaji wa kujitolea muhanga kwa
kuwa ni rahisi...
Tuesday, June 16, 2015


Marekani inasema itatoa msaada wa
dola milioni 3.2 kufadhili kikosi cha kijeshi cha kimataifa kilichoundwa
kukabiliana na wanamgambo wa Nigeria wa kundi la kiislamu la Boko
Haram.
Naibu waziri wa mashauri ya kigeni wa Marekani anayehusika
na maswala ya Afrika Thomas Greenfield, alisema Boko Haram si kero na
tatizo tu kwa Nigeria bali kwa jumuiya ya kimataifa.
Msaada huo
unatangazwa baada...
Sunday, June 14, 2015


MTU mmoja amefariki dunia na
wengine 28 kuheruhiwa vibaya na kulazwa katika hospitali ya Mafinga, mjini
Iringa baada ya basi walilokuwa wakisafiria kutangata kupita daladala na
kugongana na fuso, katika eneo la Kisolanza, Wilayani Mufindi.
Kamanda wa jeshi la Polisi
Mkoani Iringa, Ramadhani Mungi alisema tukio hilo limetokea leo, majira ya saa
nne asubuhi, wakati basi hilo aina ya Another...


Wajumbe wa CCM wakiwa katika mkutano mkuu.
IDADI kubwa ya wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), waliojitokeza
kuchukua fomu ya kuomba kuwania nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania, imetajwa kutoa ahueni kubwa kwa vikao vya uamuzi na hasa
Kamati Kuu, katika kufanya mchujo wake.
Wakizungumza na gazeti hili kuhusu kuibuka kwa zaidi ya wanachama 30
wa CCM kuwania nafasi hiyo kubwa...



1. WIMBO BORA WENYE VIONJO VYA ASILI YA TANZANIA - Bora Mchawi, Dar Bongo Massive2. MSANII BORA CHIPUKIZI ANAYEIBUKA - Young Killer 3. WIMBO BORA WA ZOUK - Yahaya, Lady Jaydee4. WIMBO BORA WA AFRO POP - Number One, Diamond Platnumz5. WIMBO BORA WA RAGGA / DANCEHALL - Nishai Chibwa Ft Juru6. WIMBO BORA WA RAGGAE - Niwe na wewe, Dabo7.WIMBO BORA...
Tuesday, June 9, 2015
Thursday, June 4, 2015


Wizara ya Sheria ya Marekani
imechapisha taarifa inayoelezea jinsi Afisa wa zamani wa FIFA Chuck
Blazer alivyokiri kuwa yeye pamoja na wenzake walipokea rushwa ikiwa ni
pamoja kuichagua Afrika Kusini kuwa mwenyeji wa fainali ya kombe la
dunia mwaka 2010.
Katika taarifa hiyo imeweka wazi mtandao wa
malipo ya rushwa ulivyokuwa ukifanywa ndani ya shirikisho la soka
duniani FIFA, taarifa...
Wednesday, June 3, 2015
Tuesday, June 2, 2015


Spika wa Bunge, Anne Makinda akimpa pole, Asla Saidi Zaharani ambaye ni
mke wa aliyekuwa Mbunge
wa Chambani, Marehemu Salim Hemedi Khamis
aliyefariki jana katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili, Dar es Salaam.
Picha na Salhim Shao
Na Patricia Kimelemeta na Beatrice Moses
Posted
Alhamisi,Marchi28
2013
saa
20:23...


A: Orodha ya Walimu na Mafundi Sanifu Maabara Ajira Mpya
Ofisi
ya Waziri Mkuu - TAMISEMI inatangaza ajira ya wahitimu wa mafunzo ya
ualimu na mafundi sanifu maabara katika mamlaka ya Serikali za Mitaa
kama ifuatavyo:-
i. walimu wa cheti (Daraja IIIA) kwa ajili ya shule za msingi 11,366;
ii. walimu wa stashahada 4,151 na shahada 12,490 kwa ajili ya shule za sekondari
iii. mafundi sanifu maabara 264 kwa ajili kusimamia maabara na kuandaa masomo...
Subscribe to:
Posts (Atom)