Saturday, June 27, 2015

Uchumi mbaya wazua wasiwasi Ugiriki Mawaziri wa fedha wa mataifa ya ulaya wamekatalia mbali ombi la Ugiriki la kutaka iongezewa muda zaidi wa kulipa deni lake kutoka Jumanne ijayo. Ugiriki ina hadi Jumanne ijayo kulipa deni lake la zaidi ya dola bilioni moja nukta saba. Serikali ya Uigiriki chini ya Alexis Tsipras ilikuwa imeombamuda wa majuma mawili iliiandae...

Friday, June 26, 2015

  Mtu mmoja amechinjwa Ufaransa Mtu mmoja amechinjwa na mwengine akajeruhiwa vibaya baada ya shambulizi la kiislamu katika mji wa Lyon Ufaransa. Vilipuzi kadhaa vilitegwa katika karakana moja iliyoko Saint-Quentin-Fallavi...
Runinga ya taifa imepeperusha picha za shambulizi hilo Watu wenye silaha wameshambulia hoteli moja ya kitalii iliyoko kwenye pwani ya Tunisia na kuwauwa watu 3...
Takriban watu 30 wamepoteza maisha yao baada ya shambulizi la kigaidi katika kituo cha kijeshi cha wanajeshi wa kimatifa wa kulinda amani nchini Somalia Amisom.  Takriban watu 30 wamepoteza maisha yao baada ya shambulizi la kigaidi katika kituo cha kijeshi cha wanajeshi wa kimatifa wa kulinda amani nchini Somalia Amiso...

Thursday, June 25, 2015

   Makamu wa rais Burundi anaaminika kuwa ametorokea Ubeljiji  Moja kati ya makamu wa rais wa Burundi ametoroka nchini humo baada ya kutangaza kuwa anapinga hatua ya rais wa nchi hiyo Pierre Nkurunziza kuwania muhula wa tatu. Makamu wa pili wa Rais wa Burundi Gervais Rufikiri amekimbia baada ya kuiambia runinga ya France24 kuwa muhula huo wa tatu unakiuka...
Kiongozi wa ujasusi wa Rwanda anatarajiwa kufika mahakamani hivi leo Kiongozi wa ujasusi wa Rwanda ameachiliwa kwa dhamana. Luteni jenerali Karenzi Karake ametakiwa kufika kwenye kituo cha polisi kila siku. Luteni jenerali Karenzi Karake alikamatwa siku ya jumamosi katika uwanja wa ndege wa Heathrow Jumamosi iliyopita chini ya kibali cha kukamatwa cha...

Tuesday, June 23, 2015

  James Horner James Horner, mtunzi nguli wa eneo maarufu kwa watu maarufu la Hollywood ambaye aliandika na kushinda katika tuzo za Oscar juu ya filamu maarufu ulimwenguni ya Titanic,amefariki dunia mjini California kutokana na ajali ya ndege akiwa na umri wa miaka 61. James alipata mafunzo ya urushaji wa ndege,inaarifiwa alikuwa peke yake wakati alipopata...
Bango lenye elimu kwa umma Sierra Leone Maofisa wa afya nchini Sierra Leone wamesema kwamba kuna wagonjwa wawili wapya wanaougua ugonjwa wa ebola na kwamba wamegunduliwa katika mji mkuu wa nchi hiyo Freetown. Hapo awali ilidhaniwa kwamba mji huo ulikuwa hauna maambukizi ya ugonjwa huo,na hakukuwa na wagonjwa walioripotiwa hapo kabla kwa muda wa wiki kadhaa. Naye...
  Puff Dadddy Mwanamuziki mashuhuri wa nyimbo za Hip hop P Diddy amekamatwa kwa kushukiwa kumshambulia mtu kwa silaha mjini Los Angeles. Kisa hicho kinadaiwa kufanyika katika chuo kikuu cha California Jumatatu alasiri, mahala ambapo mwanawe wa kiume ni mmojawapo ya wachezaji katika timu ya soka ya Marekani. Hayo ni kwa mjibu wa maafisa wa polisi. Silaha ...
 Joto kali  Waziri mkuu nchini Pakistan Nawaz Sharrif ametaka hatua za dharura kuchukuliwa huku idadi ya watu waliofariki kutokana na wimbi la joto katika mkoa wa kusini wa Sindh ikifikia 700. Mamlaka ya kukabiliana na majanga ya dharura NDMA imesema kuwa imepokea maagizo kutoka kwa Nawaz Sharrif kuchukua hatua za dharura.  Joto kali  Jeshi tayari limepelekwa katika...

Sunday, June 21, 2015

  Polisi Askari polisi mmoja wa Israel, ameumia vibaya aliposhambuliwa kwa kisu katika eneo la mashariki mwa Jerusalem, ambalo linakaliwa na Israel. Polisi wa Israel wanasema, walimpiga risasi na kumjeruhi kijana mdogo wa Kipalestina, aliyefanya shambulio. Jambo hilo limetokea nje ya lango la asili, la Damascus Gate, la kuingilia mji wa kale. Siku mbili...
  Mapigano makali yaendelea Mogadishu  Mapigano makubwa yameripotiwa kwenye mji kuu wa Somalia Mogadishu baada ya shambulizi la gari la kujitoa mhanga kutokea karibu na makao makuu ya idara ya ujasusi ya nchi hiyo. Maafisa nchini Somalia wanasema kuwa wapiganaji kutoka kundi la al-Shabab waliingia jengo lililo karibu na makao hayo makuu ya ujasusi, na kukana madai ya al-Shabab kuwa...

Saturday, June 20, 2015

...
  Al Shabaab  Wanamgambo wamewaua karibu walinda usalama 15 nchini Somalia baada ya kufanya shambulizi katika mji ulio karibu na mji mkuu Mogadish...
  Maelfu ya watu wa Uingereza waandamana mjini London kupinga mpango wa serikali wa kubana matumiz...
  Polisi wa Austria wanasema kuwa mtu mmoja aliendesha gari lake kwa kasi na kutumbukia kwenye kundi la watu waliokuwa wakitembea kwa miguu katikati ya mji wa kale wa Graz, na kuuwa watu watat...

Friday, June 19, 2015

  Hospitali moja mjini Stockholm nchini Sweden inatarajiwa kufungua kliniki ya kwanza ya wanaume waliobakw...
  Kanisa la Charleston  Utumizi wa neno ''uhalifu wa chuki'' ili kuelezea mauaji ya watu tisa katika kanisa moja la watu weusi mjini Carolina Kusini nchini Marekani umezua mjadala kuhusu ni nini haswa kinachosababisha mtu kutekeleza ugaid...
  Mtu aliyekunywa pombe haram akihudumiwa  Watu wapatao 35 wamekufa katika mji wa Mumbai nchini India baada ya kunywa pombe haramu. Wengi wao wamelazwa hospital...

Thursday, June 18, 2015

  Mfanyibiashara tajiri zaidi barani Afrika kutoka Nigeria Aliko Dangote amesema kuwa anapania kununua klabu ya Arsenal ya Uingereza. Bilioneya huyo mmiliki wa kampuni ya kusafisha mafuta nchini Nigeria amesema fedha atakazopata kutoka kwa mauzo ya mijen...
  Mfululizo wa milipuko ya mabomu imeendelea kurushwa katika misikiti ya Shia na Ofisi zilizopo katika la jimbo la Yemen, Sanaa, na kusababisha vifo vya watu 3...
  Kwa mara ya kwanza katika kipindi cha zaidi ya karne moja, noti mpya ya dola kumi nchini Marekani itakuwa na picha na mwanamk...
Umoja wa mataifa umesema kuwa idadi ya watu waliolazimishwa kukimbia makao yao kutokana na vita au tishio la kuuawa imefika juu zaidi kuliko miaka yote. Takriban milioni sitini wamerekodiwa mwaka uliopita. Zaidi ya nusu ya wakimbizi wote ni watot...
Polisi katika jimbo la South Carolina nchini Marekani wanamsaka mtu mwenye silaha alihusika katika shambulio katika Kanisa la Methodist lililo katika eneo la Charlesto...

Wednesday, June 17, 2015

  Watu 23 wameuawa Kaskazini mwa Nigeria wakati mabomu yaliyokuwa yameachwa nyuma na wapiganaji wa kundi la kigaidi la Boko Haram yalipolipuka katika kambi yao ya zaman...
Mwezi mtukufu wa Ramadhan unapoanza, hospitali nchini Uingereza zinawasihi Waislamu kuchangia viungo vyao kwa wagonjwa ambao wanahitaji figo au maini. Kuna zaidi ya Waislamu milioni 2.7 nchini Uingereza, na wale ambao wanahitaji figo au maini hulazimika kugonja kwa muda mrefu zaidi kuliko wale ambao si waislam...
  Mamlaka ya Chad imepiga marufuku vazi la Burqa kufuatia visa vya walipuaji wa kujitolea muhanga siku ya jumatatu ambavyo vimewaua watu 23. Waziri mkuu Kalzeube Pahimi Deubet, alitangaza baada ya kuonana na viongozi wa kidini. Amelaumu kundi la Boko Haram kwa kutekeleza mashambulizi huku kundi hilo likiendelea kuwatumia wanawake kama walipuaji wa kujitolea muhanga kwa kuwa ni rahisi...
Serikali ya Palestina iliobuniwa ili kuponya mgawanyiko kati ya makundi ya Hamas na Fatah imevunjika. Waziri wake mkuu Rami Hamdallah amejiuzulu rasm...

Tuesday, June 16, 2015

Marekani inasema itatoa msaada wa dola milioni 3.2 kufadhili kikosi cha kijeshi cha kimataifa kilichoundwa kukabiliana na wanamgambo wa Nigeria wa kundi la kiislamu la Boko Haram. Naibu waziri wa mashauri ya kigeni wa Marekani anayehusika na maswala ya Afrika Thomas Greenfield, alisema Boko Haram si kero na tatizo tu kwa Nigeria bali kwa jumuiya ya kimataifa. Msaada huo unatangazwa baada...

Sunday, June 14, 2015

MTU mmoja amefariki dunia na wengine 28 kuheruhiwa vibaya na kulazwa katika hospitali ya Mafinga, mjini Iringa baada ya basi walilokuwa wakisafiria kutangata kupita daladala na kugongana na fuso, katika eneo la Kisolanza, Wilayani Mufindi. Kamanda wa jeshi la Polisi Mkoani Iringa, Ramadhani Mungi alisema tukio hilo limetokea leo, majira ya saa nne asubuhi, wakati basi hilo aina ya Another...
Wajumbe wa CCM wakiwa katika mkutano mkuu. IDADI kubwa ya wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), waliojitokeza kuchukua fomu ya kuomba kuwania nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, imetajwa kutoa ahueni kubwa kwa vikao vya uamuzi na hasa Kamati Kuu, katika kufanya mchujo wake. Wakizungumza na gazeti hili kuhusu kuibuka kwa zaidi ya wanachama 30 wa CCM kuwania nafasi hiyo kubwa...
   1. WIMBO BORA WENYE VIONJO VYA ASILI YA TANZANIA - Bora Mchawi, Dar Bongo Massive2. MSANII BORA CHIPUKIZI ANAYEIBUKA - Young Killer 3. WIMBO BORA WA ZOUK - Yahaya, Lady Jaydee4. WIMBO BORA WA AFRO POP - Number One, Diamond Platnumz5. WIMBO BORA WA RAGGA / DANCEHALL - Nishai Chibwa Ft Juru6. WIMBO BORA WA RAGGAE - Niwe na wewe, Dabo7.WIMBO BORA...
Wazazi wa mwanaharakati mmoja wa haki za raia nchini Marekani wamesema kuwa anajifanya kuwa mtu mweusi kwa miaka kadhaa sasa. Rachel Dolezal analifanyia kazi shirika liitwalo National Association for the Advancement of Colored People {NAACP} huko Spokane takriban maili...

Tuesday, June 9, 2015

Nyasa Professionals: WELCOME TO NYASA PROFESSIONALS: This is our Official L...

Thursday, June 4, 2015

  Wizara ya Sheria ya Marekani imechapisha taarifa inayoelezea jinsi Afisa wa zamani wa FIFA Chuck Blazer alivyokiri kuwa yeye pamoja na wenzake walipokea rushwa ikiwa ni pamoja kuichagua Afrika Kusini kuwa mwenyeji wa fainali ya kombe la dunia mwaka 2010. Katika taarifa hiyo imeweka wazi mtandao wa malipo ya rushwa ulivyokuwa ukifanywa ndani ya shirikisho la soka duniani FIFA, taarifa...
Saa 4 zilizopita   Kasha lililokuwa limebeba kimeta Maofisa wa ulinzi nchini marekani wamekiri kuwa maabara kadhaa zilizopokea kimakosa sampuli hai za vidudu hatari vya kimeta ni zaidi ya mara mbili ya matarajio ya awali. Pentagon imesema vifaa hamsini...

Wednesday, June 3, 2015

Saa 3 zilizopita Meli iliozama nchini China haikuweza kuhimili dharubu ya upepo mkali kulingana na maafisa wa Uchina. Maafisa wa Uchina wanasema meli ndogo iliopatwa na ajali na kuzama katika mto Yangtse ikiwa na abiria zaidi ya 450 haikuwa na uwezo wa kuhimili...

Tuesday, June 2, 2015

...
  Spika wa Bunge, Anne Makinda akimpa pole, Asla Saidi Zaharani ambaye ni mke wa aliyekuwa Mbunge  wa Chambani, Marehemu Salim Hemedi Khamis  aliyefariki jana katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili, Dar es Salaam. Picha na Salhim Shao  Na Patricia Kimelemeta na Beatrice Moses Posted  Alhamisi,Marchi28  2013  saa 20:23...
A: Orodha ya Walimu na Mafundi Sanifu Maabara Ajira Mpya   Ofisi ya Waziri Mkuu - TAMISEMI inatangaza ajira ya wahitimu wa mafunzo ya ualimu na mafundi sanifu maabara katika mamlaka ya Serikali za Mitaa kama ifuatavyo:-   i. walimu wa cheti (Daraja IIIA) kwa ajili ya shule za msingi 11,366;   ii. walimu wa stashahada 4,151 na shahada 12,490 kwa ajili ya shule za sekondari   iii. mafundi sanifu maabara 264 kwa ajili kusimamia maabara na kuandaa masomo...